Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 9,679
- 39,087
Halafu unakuta mtu wa namna hiyo ameenda shule[emoji28][emoji28][emoji28].Hilo ndo la msingi potezea tu.
Na hii ndo shida ya watz wengi mtandaoni hawawezi sifia kitu mpaka walinganishe na kuunda teams hawawezi msifia Ali kiba mpaka wamlinganishe na mwanamusic mwingine.
Kusifia kitu sio lazima ukishushe kitu kingine.