Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hivi unajua maana ya kusifia?
Ulikuwa na uwezo wa kumsifia bila kukandia picha nyingine zilizopostiwa huku. Eti haujasema wengine ni wabaya, ulikuwa na maana gani kusema miguu imefunika picha zote zilizopostiwa huku?
.
Yalikuwa ni mawazo yako? Ulikuwa una maana gani kusema kwa Mwanaume kamili lazima aone kama ulivoona wewe?
.
Point of correction, sijapanic ila nimeshangaa sikudhani kuna watu wajinga kiasi chako.
.
Kula mafenesi yako mwenyewe na siku nyingine uwe unaandika vitu vnye maana.
I salute you
 
Aisee hiyo sare ya jeshi umeifanya njunga unatamba nayo popote tu, sasa siku nikukamate usijesema wanajeshi wakorofi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nimetishwaaaaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tt
IMG_20190929_093439_980.jpeg
 
Hahahaha kwani kachelewa kashalalia kwenye wivu tu
Na ndio lengo la watu wapumbavu kumtumia mtu kumuumiza mtu mwingine ili tuonane wabaya.
.
Kuna vitu imebidi nijizuie kuandika maana dada wa watu kapost na hana habari. Ila laiti huyu angepost picha halafu aandike hayo mashudu ningekula nae sahani moja hadi anieleze uquality wa mtu unaonekanaje kwa kuangalia mguu.
Na swaggs.
 
Aiseee hannah nakupendaje mimi mwenzenu kubishana siwezagi kabisaaa kwanza na kigugumizi nitaishia kulia tu.
Mimi kwenye kitu ambacho ni pumba sikubali, nitabishana unaweza dhani nalipwa.
Sasa wewe mguu tuu eti ndio swaggs na quality na style zimeonekana hapo. Halafu anasema " kwa wanaume kamili lazima wakubaliane nae" hivi anajua maana ya mwanaume kamili?
.
 
Enheee hili ndo tatizo la huyo bwana
Hilo ndo la msingi potezea tu.
Na hii ndo shida ya watz wengi mtandaoni hawawezi sifia kitu mpaka walinganishe na kuunda teams hawawezi msifia Ali kiba mpaka wamlinganishe na mwanamusic mwingine.
 
Back
Top Bottom