Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ujinga halafu anaita uanaume kamili.Mafenesi ndo yamemfanya kuwa mjinga
I salute youHivi unajua maana ya kusifia?
Ulikuwa na uwezo wa kumsifia bila kukandia picha nyingine zilizopostiwa huku. Eti haujasema wengine ni wabaya, ulikuwa na maana gani kusema miguu imefunika picha zote zilizopostiwa huku?
.
Yalikuwa ni mawazo yako? Ulikuwa una maana gani kusema kwa Mwanaume kamili lazima aone kama ulivoona wewe?
.
Point of correction, sijapanic ila nimeshangaa sikudhani kuna watu wajinga kiasi chako.
.
Kula mafenesi yako mwenyewe na siku nyingine uwe unaandika vitu vnye maana.
Kwakweli hata mi naona ni wivu tu
ngómbe hazeeki maini mjukuu..... utakosa uhondo na utamu kuniona mzee...Wewe ushazeeka. Kaa bench
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nimetishwaaaaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Aisee hiyo sare ya jeshi umeifanya njunga unatamba nayo popote tu, sasa siku nikukamate usijesema wanajeshi wakorofi
😀 😀 😀 😀Jf imejaa vituko sana!! Yaani mtu mnahangaika kuvaa vijinzi vyenu vipya ili mradi tu muonekane mko safii!!
Na bado me sijaanza kukutisha 😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji30][emoji30][emoji30][emoji30][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]nimetishwaaaaaaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na ndio lengo la watu wapumbavu kumtumia mtu kumuumiza mtu mwingine ili tuonane wabaya.
.
Kuna vitu imebidi nijizuie kuandika maana dada wa watu kapost na hana habari. Ila laiti huyu angepost picha halafu aandike hayo mashudu ningekula nae sahani moja hadi anieleze uquality wa mtu unaonekanaje kwa kuangalia mguu.
Na swaggs.
Mimi kwenye kitu ambacho ni pumba sikubali, nitabishana unaweza dhani nalipwa.Aiseee hannah nakupendaje mimi mwenzenu kubishana siwezagi kabisaaa kwanza na kigugumizi nitaishia kulia tu.
Next year ' January 😎
Tumuone mshamba tuMwambie huyo.
Eti picha zote huku zifunikwe na mguu.
Mwambie awe anatumia hata robo ya akili yake.
Safi kabisa huu ndio muktadha wa madaMi naanza na mkono baadae miguu alafu sura itafuata
View attachment 1218933
Thanks on behalf😘Itakua kesho hbd to her
Amepost? Itabidi nianze na mimi kusoma comments za nyuma nimuone.
Hilo ndo la msingi potezea tu.
Na hii ndo shida ya watz wengi mtandaoni hawawezi sifia kitu mpaka walinganishe na kuunda teams hawawezi msifia Ali kiba mpaka wamlinganishe na mwanamusic mwingine.