Wanaume gani wamekubali? Ni wewe peke ako na Rrondo.
Usiwajumuishe wengine, kuna Mkokaa hapa anapenda chata nyeusi sana [emoji23]
Ila kaka umeyumba, we hujamsifia ila umelinganisha mguu na viwili wili ya watu kweli? Ni heri hata ungesema katika picha zote zilizotumwa nimevutiwa na hii.
Bahati nzuri sijaponda mtu yeyote. Labda kama kusema napenda picha za Scorpio ndio kuponda.Si kosa, kosa kuosifia na kuiponda za wengine.
@hannahKuna mwanafunzi tulimchapa hadi tukaona tuache tuu.
.
Hajaandika kwenye madaftari yake halafu analazimisha ameandika.
Onesha alipoandika, anafungua daftari mwanzo hadi mwisho kurasa moja moja anafungua hadi ambazo hazijaandikwa.
Anatafuta alipoandika , ikumbukwe ni notes kama za mwezi ndio anazitafuta hivo bora ingekuwa siku moja ingeeleweka kachanganya kurasa.
Hadi Leo na kesho msimamo wake ni "niliandika kweli eti sijui zimeenda wapi".
Sijui ni kabila gani yule mtoto.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ninunulie.Hizo raba nimezielewa
Hii ndio kusimamia kucha?
Nimepost 3, bado tu jamani[emoji134][emoji134]Picha yako... Picha zako... Picha zako zote
Sijaona yako pichaMwanaume lazima awe mweusi, safi sana.
Tayari nishapost mkuu.Sijaona yako picha
Ndio yupi sasa
πππ[emoji23][emoji23][emoji23]kashakula mpaka balance
Bahati nzuri sijaponda mtu yeyote. Labda kama kusema napenda picha za Scorpio ndio kuponda.
Nitumie ka-advance ndio zitafunguka.Nitag.. Sizioni loh....
Halafu wewe huna makucha ya vileTafuta vizuri ipo