Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Na wengi wameogopa kujadiliana nae huu ujinga wake kwa kuhofia kuambiwa wanaona wivu

Picha ni kali lakini kulinganisha mguu ni viwiliwili vyote humu nakataa mpaka kesho anaesema naona wivu atajiju,
Wanaume gani wamekubali? Ni wewe peke ako na Rrondo.
Usiwajumuishe wengine, kuna Mkokaa hapa anapenda chata nyeusi sana [emoji23]

Ila kaka umeyumba, we hujamsifia ila umelinganisha mguu na viwili wili ya watu kweli? Ni heri hata ungesema katika picha zote zilizotumwa nimevutiwa na hii.
 
Kuna mwanafunzi tulimchapa hadi tukaona tuache tuu.
.
Hajaandika kwenye madaftari yake halafu analazimisha ameandika.
Onesha alipoandika, anafungua daftari mwanzo hadi mwisho kurasa moja moja anafungua hadi ambazo hazijaandikwa.
Anatafuta alipoandika , ikumbukwe ni notes kama za mwezi ndio anazitafuta hivo bora ingekuwa siku moja ingeeleweka kachanganya kurasa.
Hadi Leo na kesho msimamo wake ni "niliandika kweli eti sijui zimeenda wapi".
Sijui ni kabila gani yule mtoto.
@hannah
 
71342798_756183824835557_5394908411915665408_o.jpg
Ndio yupi sasa
 
Back
Top Bottom