Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 24,514
- 65,521
Na wengi wameogopa kujadiliana nae huu ujinga wake kwa kuhofia kuambiwa wanaona wivu
Picha ni kali lakini kulinganisha mguu ni viwiliwili vyote humu nakataa mpaka kesho anaesema naona wivu atajiju,
Picha ni kali lakini kulinganisha mguu ni viwiliwili vyote humu nakataa mpaka kesho anaesema naona wivu atajiju,
Wanaume gani wamekubali? Ni wewe peke ako na Rrondo.
Usiwajumuishe wengine, kuna Mkokaa hapa anapenda chata nyeusi sana [emoji23]
Ila kaka umeyumba, we hujamsifia ila umelinganisha mguu na viwili wili ya watu kweli? Ni heri hata ungesema katika picha zote zilizotumwa nimevutiwa na hii.