Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi sijaona hata unywele wako hebu nifanyie roho nzuri jamani
Kesho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mi sijaona hata unywele wako hebu nifanyie roho nzuri jamani
[emoji23][emoji23][emoji23]Anza na hiyo....picha ya kakucha coming soon
Don Clericuzio tunguli za Mshana Jr zimenibamba
View attachment 1218986
Certified by Sanchez 100%
Kaombe mkopo benki tu.
Aisee yaani hilo ni jina lake halisi?? Mpe hongera nyingi sana mimi siyo jina langu halisi ila huwa nalipenda tu!!MP zitakuvunja goti karma[emoji23], na rafiki yangu ana jina kama lako ila yeye Ni mnene mweusi chocolate
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kesho.
Funga hiyo pm bana[emoji3][emoji3]tatizo zinanijalia mno
Imetoka hiyoooEmbu weka Tena
Karibu hata siku nyingineAsante sana[emoji120]
Imeshatoka kumbe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kesho.
Kumbe ukubwa unaangalia nini? Mie kikongwe eti!!!Hahahahaha
Hebu hukooo, uwe unanisalimia
Tuliojipost ni mangumbaru?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nipo kwa kweli mambo ni lukuki...
Nimekuona hapo juu!!
Kule migombani si ulishahama?
Mwaka huu birthday yako lini... Keki yako
Kweli 😢😢Jamani jamanii
Imetoka hiyooo
Hakuna chumvi hapo jamani, acha ubishi kabisaaKumbe ukubwa unaangalia nini? Mie kikongwe eti!!!
Kuna siku nilikuwa na rafiki yangu kijana mmoja akanisalimia "shikamoo madam" rafiki akaniuliza "mbona huyu mzee anakusalimia shikamoo"? Nikamjibu ni mwanafunzi wangu huyo, hakuamini. Hivyo usione ukadhani, nimekula chumvi ya kutosha.
Huu uzi utafika mahali watu wataondoa woga na kujiachia kwa raha zao... Hapo ndio kutanoga sasa View attachment 1219035
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Duh mi ntumie hata pm jamani napotea sana humu sitaiona