Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mpaka uwe na jicho ndio unaona[emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mpaka uwe na jicho ndio unaona[emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji109][emoji123][emoji109][emoji123]Napenda speed ya huu uzi pia comments zinanifurahisha sana! Big up kwa mleta mada na wachangiaji. Sometimes JF inatufanya tusahau michosho ya maisha na kuifanya akili iwe huru. Tuendeleeni kuukimbiza huu uzi mpk tuupite ule wa makapuku!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]itakuwa sina koneksheni halafu wewe mbona nilishakutag tangu jana ila nahisi comment yangu hukuiona tu tuma picha na wewe eti[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]...
Au huna koneksheni.
Mm nimeumia kwanini hawajanitag
ShukraniZimefika
Jamani
[emoji134][emoji134][emoji134]kumbe ulinitag??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]itakuwa sina koneksheni halafu wewe mbona nilishakutag tangu jana ila nahisi comment yangu hukuiona tu tuma picha na wewe eti
La rohoni[emoji23]Hicho hili la mwilini au la rohoni?
Mwanamke dela
Nikiwa na ww naweza omba mkopo bank nikapewa bila masharti[emoji8]
It's just one thing that's killing me
How do you fit that in them jeans?
Hot damn it your booty like two planets
Damn, baby, you got a bright future behind you
Have a nice MondayView attachment 1219302View attachment 1219303View attachment 1219304Majukumu kwanza mengine yanafuata.
Have a good day[emoji41]
Nimeviona vidole best
ila nyie wanene mnakuaga na vi-elements flani vya u-wife material
View attachment 1219302View attachment 1219303View attachment 1219304Majukumu kwanza mengine yanafuata.
Have a good day[emoji41]
Mimi mwenyewe kuna muda sipati notifications zenye tags, ndiyo shida ya sisi tunaotumia app wengi humu wanatumia browser ndiyo maana utasikia maswala ya pages yaani uzi umefika pages fulani za comments, ila sisi tunaotumia app hakuna cha pages wala nini yaani comments zote zipo sehemu moja ni wewe tu kuserereka nazo kuanzia juu hadi chini, browser iko vizuri kwenye notifications na settings japo mimi huwa inanitia uvivu naona bora app tu.[emoji134][emoji134][emoji134]kumbe ulinitag??
Sipati notification kwa wakati,mara nyingine sipati kabisa[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24].
Kweli huna koneksheni..zangu mbona zipo kule juu
Ma legends tu ndio wataelewa hii code