Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi mwenyewe kuna muda sipati notifications zenye tags, ndiyo shida ya sisi tunaotumia app wengi humu wanatumia browser ndiyo maana utasikia maswala ya pages yaani uzi umefika pages fulani za comments, ila sisi tunaotumia app hakuna cha pages wala nini yaani comments zote zipo sehemu moja ni wewe tu kuserereka nazo kuanzia juu hadi chini, browser iko vizuri kwenye notifications na settings japo mimi huwa inanitia uvivu naona bora app tu.
Mimi web browser huwa naona inanichosha kutumia,japo kweli Ni nzuri.

App nimei update lakini wapi [emoji24][emoji24][emoji24]
 
Mimi mwenyewe kuna muda sipati notifications zenye tags, ndiyo shida ya sisi tunaotumia app wengi humu wanatumia browser ndiyo maana utasikia maswala ya pages yaani uzi umefika pages fulani za comments, ila sisi tunaotumia app hakuna cha pages wala nini yaani comments zote zipo sehemu moja ni wewe tu kuserereka nazo kuanzia juu hadi chini, browser iko vizuri kwenye notifications na settings japo mimi huwa inanitia uvivu naona bora app tu.
Sio kweli.... mbona page zipo namba zipo labda tatizo ni wewe tu..

Ilo la notification upo sahihi.
Screenshot_2019-09-30-07-57-09.jpeg
 
Mimi web browser huwa naona inanichosha kutumia,japo kweli Ni nzuri.

App nimei update lakini wapi [emoji24][emoji24][emoji24]
Yeah mimi mwenyewe sababu ya kutotumia browser ni vile naona inanichosha tu hakuna sababu nyingine ila huwa najiuliza kwanini yale yote yaliyoko kwenye browser wasiyaweke na kwenye app tu
 
Yeah mimi mwenyewe sababu ya kutotumia browser ni vile naona inanichosha tu hakuna sababu nyingine ila huwa najiuliza kwanini yale yote yaliyoko kwenye browser wasiyaweke na kwenye app tu
Sasa hapa umuulize Kaka yako max..wewe si anakubadilishiaga majina haraka[emoji2][emoji2][emoji2]
Mwambie kwanini asiyaweke huku Yale mazaga yote.
 
Back
Top Bottom