Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Mimi web browser huwa naona inanichosha kutumia,japo kweli Ni nzuri.Mimi mwenyewe kuna muda sipati notifications zenye tags, ndiyo shida ya sisi tunaotumia app wengi humu wanatumia browser ndiyo maana utasikia maswala ya pages yaani uzi umefika pages fulani za comments, ila sisi tunaotumia app hakuna cha pages wala nini yaani comments zote zipo sehemu moja ni wewe tu kuserereka nazo kuanzia juu hadi chini, browser iko vizuri kwenye notifications na settings japo mimi huwa inanitia uvivu naona bora app tu.
Nimekupenda ...
Nakuja Mama tukateke watu huko Crdb[emoji4]Twende sasa hivi tukaombe mkopo.
Sio kweli.... mbona page zipo namba zipo labda tatizo ni wewe tu..Mimi mwenyewe kuna muda sipati notifications zenye tags, ndiyo shida ya sisi tunaotumia app wengi humu wanatumia browser ndiyo maana utasikia maswala ya pages yaani uzi umefika pages fulani za comments, ila sisi tunaotumia app hakuna cha pages wala nini yaani comments zote zipo sehemu moja ni wewe tu kuserereka nazo kuanzia juu hadi chini, browser iko vizuri kwenye notifications na settings japo mimi huwa inanitia uvivu naona bora app tu.
I fit in any outfits jeans, mini skirts, dera, short gown, anything...
Shukran jazillah
Picha zako nimekuta umefuta nirushie pm nikwambie kitu 😜Mimi web browser huwa naona inanichosha kutumia,japo kweli Ni nzuri.
App nimei update lakini wapi [emoji24][emoji24][emoji24]
Yeah mimi mwenyewe sababu ya kutotumia browser ni vile naona inanichosha tu hakuna sababu nyingine ila huwa najiuliza kwanini yale yote yaliyoko kwenye browser wasiyaweke na kwenye app tuMimi web browser huwa naona inanichosha kutumia,japo kweli Ni nzuri.
App nimei update lakini wapi [emoji24][emoji24][emoji24]
Umechelewa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Picha zako nimekuta umefuta nirushie pm nikwambie kitu [emoji12]
Ningepata mwili Kama huu[emoji3526]
Mbona sizioni mkuu?? Au hujajua naongelea page gani??Sio kweli.... mbona page zipo namba zipo labda tatizo ni wewe tu..
Ilo la notification upo sahihi.View attachment 1219334
Toka asubuhi nasoma comments kwenye uzi huu nikifika sehemu ya picha nakuta imefutwa inakera kicheziiiiiiii😬[emoji30][emoji30][emoji30][emoji30]hainogi
Sasa hapa umuulize Kaka yako max..wewe si anakubadilishiaga majina haraka[emoji2][emoji2][emoji2]Yeah mimi mwenyewe sababu ya kutotumia browser ni vile naona inanichosha tu hakuna sababu nyingine ila huwa najiuliza kwanini yale yote yaliyoko kwenye browser wasiyaweke na kwenye app tu
haiwezekani iwe ya kuazima imekufit vizuri mnooo.. nahisi nshakosa mke ngoja niendelee kutafuta.Nilivaa tu urembo, bado NATAFUTA MUME.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi why mtu uweke picha na kufuta,mnatupa tabu wenzenu tunarudi nyuma kusoma comments na picha tunakuta imefutwa.