Hebu ongeza sauti kidogo[emoji344]Nilivaa tu urembo, bado NATAFUTA MUME.
Daaha naomba niishie kusema daah@miminimama
Juu wapi best vidole vimechoka kusoma comments bila picha ya kusafisha machoHebu kwanza zitafute pale juu.
Unaweza kutana nayo hata Moja[emoji1787][emoji1787]
Sasa wewe usernames zako zote alikubadilishia nani??Ndio muulize.
Nadhani una experience Sasa ya kumtumia PM [emoji2][emoji2].wengine hatujawahi
Mimi sijafuta.Ndio vizuri tuugulie maumivu sawa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na sisi tulikuja tukakuta mmefuta[emoji1787]
Huko juu ipo[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Juu wapi best vidole vimechoka kusoma comments bila picha ya kusafisha macho
Sijawahi badilishaSasa wewe usernames zako zote alikubadilishia nani??
Now huwa huchanganyikiwi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii tabia ya kufuta picha umeanzisha wewe,ulipofuta picha yako naona members wakaiga kwako[emoji3][emoji3][emoji3]ukuje piemuni unirushie moja kamoyo katulia.
Asante mpendwa una jiamini mno.
We una kazi ya kustuka tu[emoji23]Salaalee
UmefutaMimi sijafuta.
Mnanisingizia.Kweli ameanza yeye
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lazima nichukie unasoma comments 1000 zote picha zimefutwa
Mmhh kuna mtu humu uliwahi kumuambia kuwa tangu umejiunga JF umeshabadili id mara nyingi sasa sijui ulimdanganyaSijawahi badilisha
Weka pichaHivi why mtu uweke picha na kufuta,mnatupa tabu wenzenu tunarudi nyuma kusoma comments na picha tunakuta imefutwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]