Selfika na JF: Snap it. Show it

Me too darling 😍😍
Pa kuzitafuta ndio kipengele wanaishia kujifariji na kupangia watu.!! 🀣

Vipi kontena jipya limeshuka umelipata?
Wapambane na hali zao😁
Kontena lipi tena wifi,Siku hizi napitwa na mengi humu nimekuwa mvivu kuingia Jf.
 
Fake P mtu mstaarabu sana yaani sana 😎😎 ndio maana nampenda huyu

Kabisa huyu mwezi ujao nampandisha cheo

F zote😁

Acheni maneno kama wauza mboga tupieni picha matajiri nyie kutoka kusini mwa jangwa la Sahara

Ndoa za nini na hatuna pesa😁😁

Mwendo mmeumaliza Endeleeni na Faraja zenu. Sio mitaa yangu
 
Wapambane na hali zao😁
Kontena lipi tena wifi,Siku hizi napitwa na mengi humu nimekuwa mvivu kuingia Jf.
Hali zao zenyewe zimewakimbia zimekaa pembeni zinawacheka 😹😹
Mi mwenyewe km 4days sijaingia, jana nikaingia ili nimcheck lee si ndio nakuta watu wenye depression wanajifariji.!!
Sasa leo bana nimeketewa pdf la moto aiseee.!! Jf haipoi haiboi πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ni kipapa au chat za watu maana humu kuna Umalaya mbwaπŸ’πŸ˜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…