Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Me too darling 😍😍
Pa kuzitafuta ndio kipengele wanaishia kujifariji na kupangia watu.!! 🤣

Vipi kontena jipya limeshuka umelipata?
Wapambane na hali zao😁
Kontena lipi tena wifi,Siku hizi napitwa na mengi humu nimekuwa mvivu kuingia Jf.
 
Wapambane na hali zao😁
Kontena lipi tena wifi,Siku hizi napitwa na mengi humu nimekuwa mvivu kuingia Jf.
Hali zao zenyewe zimewakimbia zimekaa pembeni zinawacheka 😹😹
Mi mwenyewe km 4days sijaingia, jana nikaingia ili nimcheck lee si ndio nakuta watu wenye depression wanajifariji.!!
Sasa leo bana nimeketewa pdf la moto aiseee.!! Jf haipoi haiboi 😂😂😂
 
Hali zao zenyewe zimewakimbia zimekaa pembeni zinawacheka 😹😹
Mi mwenyewe km 4days sijaingia, jana nikaingia ili nimcheck lee si ndio nakuta watu wenye depression wanajifariji.!!
Sasa leo bana nimeketewa pdf la moto aiseee.!! Jf haipoi haiboi 😂😂😂
Ni kipapa au chat za watu maana humu kuna Umalaya mbwa🐒😁
 
Back
Top Bottom