Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimehairisha naona bonge kasikia naondoka karudisha msambwanda wake [emoji23][emoji23][emoji23]
Tuendelee
Ko bampaaa to bampaaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bonge kijora nishakununulia sema fundi kajitahidi kukushonea ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Utakivaa ukiwa unaenda Paris au Italy?
 
๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„ twende zetu tukazurure tule Ice cream, tuangalie mechi ya Yanga. Voda mwakani ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Hii ni zaidi ya vocha Bantu Lady ๐Ÿ˜„๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ hii ni baalaaaaaaaaa
Wapi nipe location mamiii ๐Ÿ˜Š
 
[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41] ooh nana baby I love you ooh nana [emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
 
Mpaka ateme bungo kidampa huyo [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], kanichekeshaaa leo, kumbee nayee anawezaa taarabu.
Hivi vidampaa na taarabu kuna nn kati yao? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], kanichekeshaaa leo, kumbee nayee anawezaa taarabu.
Hivi vidampaa na taarabu kuna nn kati yao? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ Hapo kajikaza Ila mishuzi inamtoka
Taarabu bana inamfanya apate relief ajione naye anamiliki kitumbua, kwamba anatumudu.!

Ila leo kacheza beat letu, na hii itakuwa dose kila nikijisikia kumchachua naingia nampanikisha mpk akome, najua 24/7 yupo anazurula humu.. ni mimi tyuu kujipigia ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
Yupo anachungulia tu hapa hapaingiliki...๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Dege nalo naona kimekaa kimya...๐Ÿคฃ๐Ÿ’”
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Kajificha kwenye kona anatuzoom.!!
Aje bhana mbona leo michano tyuu hatugombani.!!
 
Degeeeee Lete huo msambwanda tuupige kiberiti๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Uzidi kuwaka... idiots ๐Ÿ’”๐Ÿ˜‚
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น Hapo kashajitupa chini mara 20 kwa hasira, halafu nasikia anakula ugali kilo 3 peke yake hashibi ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uduguuuu leo nimechekaaa sanaaa, vidampaaa wasiojikubalii kazi wanayoooo

Kunae mwenzake huko, kila mda kuanzisha nyuzi, ili aukwaee umaarufuu, watu wamemgomeaaa.
Anabaki kuvurugwaaa, eti ananiteta mie namsakamaaa.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu wamevurugwaaa hatareeee, Woiiiiiiih
 
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น Hapo kashajitupa chini mara 20 kwa hasira, halafu nasikia anakula ugali kilo 3 peke yake hashibi ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
Ebanaa eeh ๐Ÿคฃ
Watu wabaya nyie....
Linakula kilo tatu na mabawa linachanua...
Nakufa mieeeeeeee kwa kicheko๐Ÿ˜‚
 
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ Dada yule amekuja kwa Kasi sana..kwa siku anaanzisha nyuzi 3๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ’”
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ Lipi hilo?
Umaarufu hautafutwi kwa nguvu unakuja automatically pimbi huyo hajui?!!

Sema JF raha sana, tukiamka na mood zetu za vingunguti wajishikilie watapata pureshaaa๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
 
Ebanaa eeh ๐Ÿคฃ
Watu wabaya nyie....
Linakula kilo tatu na mabawa linachanua...
Nakufa mieeeeeeee kwa kicheko๐Ÿ˜‚
Maharage kilo peke yake ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Nasikia km vegetables basi mchicha wa afu tatu ndo tumbo linashtuka kidogo..!!
Maji lita 10 km ngโ€™ombe hasara tupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ