Selfika na JF: Snap it. Show it

Nikiweka picha mashoga mabonge nyanya yote yatakuja kujinunisha km wametiwa jiti la nonino 😹😹😹

Ila tulia ntakushtua usikae mbalii
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Eti kibao Cha kashataπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Sii michundoo ya JF, Inanichokoza enyewee, nikii saula inakimbilia kujiliza kwa modes, aaaaah
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mijitu muda wote ni kulia
Halafu unakuta ni ya kiume
Akiyanani nikiona kitu la kiume linapapatika na kulia Kwa mod naliona kama limama zembe
 
Kuna mijitu muda wote ni kulia
Halafu unakuta ni ya kiume
Akiyanani nikiona kitu la kiume linapapatika na kulia Kwa mod naliona kama limama zembe
Wamejaaa teleee JF, haiwezagi battle, ikionaa inaelemewa inakimbilia kwa modes kujiliza liza.
Wanaboa na kukeraa mnooo, mxxxxiiiiieeew zao.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mie siku hizi nimejiupgrade
Mabwwge wote siwajibu
Sitoi kiki Kwa wanaotafuta umaarufu Kwa kubishana na mimi

Kuna watu anajiona ili apae basi atafute katopic ka kubishana na watu popular.
 
Kuna mijitu muda wote ni kulia
Halafu unakuta ni ya kiume
Akiyanani nikiona kitu la kiume linapapatika na kulia Kwa mod naliona kama limama zembe
Ss hivi unapiga nayo hip hop ngumu mpk waache shobo robo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…