Ananidanganya na mimi namsikiliza tuπππππ!
Huendi mbinguni ujue
Weee unapenda anaeiombaje??πHajui kuiombaπ
Anajua kuiomba ila namzinguay
Weee unapenda anaeiombaje??π
Ila Wiiπππwewe kibokoChuma icho πππ
Ila kaka hapa kajipata mtoto mlito, mali safi kabisa.!
Usingizi wa kaka yangu π₯°π₯°
Ulivyo mkareee naona watu mate yanawatoka ila wanashikilia moyo..
πππππ! Siku akuzimishe ndio utajua wanaume wapole upole wao uliko πNamtania min ake nitakavyo sababu hakasiriki
Kazidi upolee
Hafananii mbonaππππππ! Siku akuzimishe ndio utajua wanaume wapole upole wao uliko π
Nani?Yupo mwingine analalamika anaombwa PC na pesa eti kachoka mademu zake njaa nyingi π€£π€£π€£
Nkamu uliomba PC ya pesa nyingi, ungemuomba hata dell ππππ€£π€£π€£π
Mshindi yeye aiseeπNkamu uliomba PC ya pesa nyingi, ungemuomba hata dell πππ
Unampaje ushindi, atoe PC kwanza ndio awe mshindi πππMshindi yeye aiseeπ
Aisee,huyu kijana unapocheka nae kumbe anakuwa anakuchora tu siku akuharibie....sikumdhania....na kilichompanikisha ni Mimi kukutetea mnavyokwazana kule kwenye thread....kazi yake ni kuumiza watu sijui atakua lini aiseeπMmmh bwabwa hilo, yeye mwenyewe kawekwa ndani kula na kulala
Niliomba hadharani cute ....nilisaidiwa pm....nishanunua tayari.Sasa anachoumizwa na michango ya watu ni niniUnampaje ushindi, atoe PC kwanza ndio awe mshindi πππ
Mi niko sambamba na wewe mpk tajiri atoe PC tena Mac book hatutaki brand nyingine.!
Yeye mbona maelezo yake tofauti, kasema mnajuana ww goma lake na unambebisha sana πππAisee,huyu kijana unapocheka nae kumbe anakuwa anakuchora tu siku akuharibie....sikumdhania....na kilichompanikisha ni Mimi kukutetea mnavyokwazana kule kwenye thread....kazi yake ni kuumiza watu sijui atakua lini aiseeπ
πππ yeye kasema ulimuomba pembeni na ukaanza kuomba akusaidie school fees ya kina Junior π«’Niliomba hadharani cute ....nilisaidiwa pm....nishanunua tayari.Sasa anachoumizwa na michango ya watu ni nini
π€£π€£π€£π€£π€£Jamani...ndo maana nimemuuliza nishawahi ingia pm yake? But it's ok mshindi yeyeπππ yeye kasema ulimuomba pembeni na ukaanza kuomba akusaidie school fees ya kina Junior π«’
Makubwaaa ilikuwaje tenaππJf wanaume ni wachache Sana aisee,Cha kushangaza anahusisha wanangu...jamani ...alitaka nisizae? Nitoe mimba? Aisee,hovyo sana
πππ Huko pembeni anawananga sana mnamzamia pm kumsumbua na njaa zenu wohiiii nouma sanaπ€£π€£π€£π€£π€£Jamani...ndo maana nimemuuliza nishawahi ingia pm yake? But it's ok mshindi yeye