Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Sawa wakwetu ila siku moja moja sio mbayaHahahhahaha sema bia inaotesha kitambi ndio kitu huwa nazikwepa wa kwetu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa wakwetu ila siku moja moja sio mbayaHahahhahaha sema bia inaotesha kitambi ndio kitu huwa nazikwepa wa kwetu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahMi huyo wa pembeni, halafu nyie wake wenzangu ndio mpo kikundi huko mnaniletea yutiai sugu kwa mme wangu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣🤣 kivumbi leoKaka,nimesurrender...Sina hamu...yaan Sina hamu.Yaan hata kifo kimkute tu...popote pale...yaan popote pale🙏
Moja sawa 😁Sawa wakwetu ila siku moja moja sio mbaya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ushaanza kujichekesha kwa babu [emoji81][emoji81]
Naye unamtaka?
Huyo mbona tayari na picha zake kashasambaza 😹😹😹Poleni sana wanaume kama mabinti na sasa naona anamtagg dem fulani hv ipo siku atamuumbua,,
Muomba vocha anawasema wenzie wanamuomba vocha pyumbavu yeye na uk.. wake
Lekcharaaaaa, hii trip ya wapiii??
Woyoooooooo!!! Tubless shangaziiii.My Wii Leo timu yngu imeshinda uje nikubless[emoji7][emoji7]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumeanzaaa kuwakaaaaa!!!Vincenzo Jr njoo mahi unimalizie story ya mademu kukuomba vitu Tajiriiiiiii [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vincenzo Jr mechi ishaisha njoo bana uniambie ulivyoombwa pesa na pc tajiriiiiii [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila wewe ngadu una hekaheka sana ujue, ko unaombwa miutajiri yako!!
Nasikia wanakusumbua uwatumie vocha kwenye bday yako had wanalia [emoji81][emoji81][emoji81]
Ahiyiiii nyie mie [emoji23][emoji23][emoji23]
Ila hii id km naijua au basi 🤣🤣🤣Pole dada punguza mazoea mengine si ya kuzoea kabisa kuharibiana mood
Hatareeeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumekucha [emoji3]
Shangaziiii nimepitwaaa, Rudiaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ila Wii[emoji23][emoji23][emoji23]wewe kiboko
Naelekea kuwa simtank 😂Dadaa em sema kweliii, aaaah wee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mkuu unatokeaga kwenye ugomvi tu 🤣🤣Nipo sambamba huyu anaekaa kwa muarabu wake huko kig na kuchafulia watu majina wakati hawezi kitu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu weuweeeee!!!!Huyu tajiri nasikia hapendi tabia ya kuombwa ombwa pesa na manzi wake aliopita nao eti wanamsumbua njaa nyingi [emoji23][emoji23][emoji23]
Wengine analalamika wanambebisha yy hapendi, na wanamuomba PC yake ya Mac book aliyonunua Paris pale Apple Store [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Au Toshibaaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nkamu uliomba PC ya pesa nyingi, ungemuomba hata dell [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aiiiiiiih mambo nayapendaa hayaaa!!Unampaje ushindi, atoe PC kwanza ndio awe mshindi [emoji23][emoji23][emoji23]
Mi niko sambamba na wewe mpk tajiri atoe PC tena Mac book hatutaki brand nyingine.!