Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yeye mbona maelezo yake tofauti, kasema mnajuana ww goma lake na unambebisha sana [emoji23][emoji23][emoji23]

Na idadi ya kids wako anaijua eti?! 🫢
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nawaambia siku zote nyie kina dada acheni mazoea na huyu mkaanga chips mnachat utani tu anachukulia serious
Kwanza mnamtakaje huyo bonge lisilo na pesa ya vocha?
Kumekuchaaaaaaaa!!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Woyooooooooooooooooooooo!!!!
 
Poleni sana wanaume kama mabinti na sasa naona anamtagg dem fulani hv ipo siku atamuumbua,,
Muomba vocha anawasema wenzie wanamuomba vocha pyumbavu yeye na uk.. wake
Natakaaaaa msemeee nyieee, maana tukisemaa sie, tuna Nongwaaaa.

Weraaaaaaaaa weraaaaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nipo sambamba huyu anaekaa kwa muarabu wake huko kig na kuchafulia watu majina wakati hawezi kitu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbeee kweli, anakaaa kwa Muarabu na huyo Arabuu koko anasali pale msikiti wa wapembaaa.

Aaaaaah jamaniiii mie sitakiiiiiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Vincenzo Jr Mwenyezi Mungu akubariki Sana.....Ila usipende kuongea uongo ili upewe attention.....mi To yeye wa hivihivi....unichukie Usinichukie...mie ni wa hivihivi.....Sina cheo chochote Ila nimebarikiwa kuongea na kilamtu.....penye ubaya napakimbia Kama hivi nitakavyokukimbia.Asanteh[emoji120]
Jamaniiiiiiii hukuuuuuuuuuuuu!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Nkamu nyie huyo best yenu

Remember; “Don’t wrestle with pigs because you’ll get dirty. Besides, the pig will enjoy it”

Acheni kumchekea na kumpa kiki hiki anachowafanyia yy kinampa raha..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom