Selfika na JF: Snap it. Show it

Bonge utapiamlo njoo humu[emoji37] hela ya kununua pc huna afu kuwasemea pembeni,
maskini mkubwa ulikuwa unang'ang'ana na vocha na wanawake leo huu kumnanga mtu mzima, ?badilika kijana hata wanaowasili ana na wewe nje ya jamii forum wajitathimni
Si ndo yeyee alimfataaa jamaa fulaani humu, kumuombaa msaada, afu baadae anasema, iwe siri na hakikishaa, cocastic au lammomy hamfikii, wale wabayaa sanaaa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] habari zako tunazooo,

Na siku nikitibukaaaa, nawekaa waziii ulivyokua Una mnangaa BL kisa varangati lake na ephen, kuhusu uzii kuunganishwaaa

Hukoo PM tunayooo yoteeeee. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Boss anasema kawapelekea moto wote na wengine akitaka muda wowote wanaenda kumpea bila kwere [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aaaaah jamaniiii mie sitakiiiii.
 
Tajiri kanichekesha sana [emoji23][emoji23][emoji23]
Tajiriiiiii uliona meza akee ya kioo? Je kiswaswadu chakee? Vipadi vimelikaa hatareeee

Hivii hukuonaaa? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Akuachie funguo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Aniachiee kabisaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakuleteaa mwenyewee, nshamic kukanyagaa mafutaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23] Uduguu em kwanza nipumzike kidogo, tajiriiii akija nishtue.!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hafikiiiiii, leo hata kiongozi wake hagusiiii hapaaa
Wao hawaogopiiiiii?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…