Selfika na JF: Snap it. Show it

Siku hizi una misamiati migumu Mjukuu hadi Babu yenu inanishinda πŸ€—
Tatizo babu mwenzako nilizaliwa na mama kijana, naye alizaliwa na mama yake kijana toto la kinyamwezi.. ndio huyo bibi yangu kaniharibu na mineno yake πŸ˜‚πŸ˜‚

Kuna siku simu yake inaita nikamwambia bibi pokea simu au nikupokelee akanijibu, We mtoto koma,”Huyo mshefa wangu alikuwa footballer” 🀣🀣🀣
Basi na mi nikakumbuka nikakuita hivyo kina bibi wakuje
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] endeleaa na kazii uduguuu, mie nalala mapema leo.
Uduguu em njoo unishauri kwanza, ukifika nishtue yani nimevurugika.. sijui ndio nimetupiwa jini hii sio kawaida kabisaa.!! 😹😹😹
 
Uduguu em njoo unishauri kwanza, ukifika nishtue yani nimevurugika.. sijui ndio nimetupiwa jini hii sio kawaida kabisaa.!! [emoji81][emoji81][emoji81]
Imekuajeeeee? Wee uduguuu nambiee, nishafikaaa hapaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…