Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bibi yako amechachukaa vibayaaaa.
 
Imekuajeeeee? Wee uduguuu nambiee, nishafikaaa hapaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unavyopenda ubuyu ukawahi chap 🀣🀣🀣

Bana kuna mteja ananitia majaribu mwenzio, zile sifa zetu pendwa zote anazo jamani.!! πŸ€¦β€β™€οΈ

Huyu mkaka bana first time anaingia kwa shop moyo ulifanya pah!! 😜
Madogo wakamuhudumia mimi nimekaa pembeni namchora tu, baadae akaomba tumuadd kwenye group awe anaona sample..
Sasa kijana akanipa order kuna mzigo nilishusha, nikamuelekeza kwa Kaka wa dukani ili aweke order yake, sikujua km ndio yeye..!!

Kilichoendelea ngoja ninywe maji kwanza narudi πŸ˜‚
 
Niko hapaaa kusikilizaaaa uduguuu, kunywa majii uje uendelee kunipaa huu ubuyuu, mbna wa motoooo.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bibi yako amechachukaa vibayaaaa.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Bibi ukikaa naye hachoshi wala haboi, anapenda kwenda live band huyoo.!!

Bibi halali, kuna siku niliweka status usiku nikampost rafiki yangu weeh.! Eti akareply β€œMida ya majambazi kupostiwa” 😹😹😹
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aaaaaaiiiiiiih!! Bibii yako ana mabwakuuu.
 
Niko hapaaa kusikilizaaaa uduguuu, kunywa majii uje uendelee kunipaa huu ubuyuu, mbna wa motoooo.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Naomba nikumalizie pm hapa ntazua taharuki πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aaaaaaiiiiiiih!! Bibii yako ana mabwakuuu.
Uje siku moja twende kwake ukapate kitchen party isiyo na vyombo, ana sauti nzuri hiyo halafu ina kigugumizi..!
Bibi lizuri linazeeka na utramu wake.! πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Inaonekana una misamiati mingi sana Mjukuu, njoo uniletee Kiko ili unifundishe zaidi hiyo misamiati πŸ€—
 
Uje siku moja twende kwake ukapate kitchen party isiyo na vyombo, ana sauti nzuri hiyo halafu ina kigugumizi..!
Bibi lizuri linazeeka na utramu wake.! [emoji23][emoji23][emoji23]
Watu weuweeeeee!!! Bibi tunae na tunatambaa nae.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Watu weuweeeeee!!! Bibi tunae na tunatambaa nae.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tunae bibi la kinyamwezi shombe shombe baby 🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…