Ndio ushatupia au???ππ
Tayari?Ndio ushatupia au???
Nimepitwaaa
Iko wapi mwanetu au unaogopa kunaswa na vijana wa hovyo π πTayari?
Wala mkuuIko wapi mwanetu au unaogopa kunaswa na vijana wa hovyo π π
Usiogope mwanangu Tupia picha usiwaogope wajaa wa jf ππWala mkuu
No nishatupia sana tu mbona niogope kitu gan?Usiogope mwanangu Tupia picha usiwaogope wajaa wa jf ππ
Haya saii niko na muda nibles kiongoziTayari?
Ziko wapi mwanetu πNo nishatupia sana tu mbona niogope kitu gan?
safi sanaNimepata wageni wamenidai wali maharage π
Mpaji Mungu njoo uungane nao
@ephen ndiz zako kesho njoo Leo ule mandondo πView attachment 3085723
Sisi wasukuma hii kwetu ni dessert.Nimepata wageni wamenidai wali maharage π
Mpaji Mungu njoo uungane nao
@ephen ndiz zako kesho njoo Leo ule mandondo πView attachment 3085723
Nyie Tena ππSisi wasukuma hii kwetu ni dessert.
Mwambie akuleete bhana πMpaji Mungu hataki kuniletaπ₯²
ππMungu kwanini ananibariki hivi?Nimepata wageni wamenidai wali maharage π
Mpaji Mungu njoo uungane nao
@ephen ndiz zako kesho njoo Leo ule mandondo πView attachment 3085723
Mpaka tuende Muhimbili uwekewe pulizoMpaji Mungu hataki kuniletaπ₯²
Azam embe π€£π€£ππMungu kwanini ananibariki hivi?
Mapema tu mama sema vinywaji gani vije
Last born wetu huyo ana heka heka sana Kuna jambo la kifamilia tunamalizia atakuja ChristmasMwambie akuleete bhana π