Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
Ndio ushatupia au???
Nimepitwaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ushatupia au???
Tayari?Ndio ushatupia au???
Nimepitwaaa
Iko wapi mwanetu au unaogopa kunaswa na vijana wa hovyo 😂 😁Tayari?
Wala mkuuIko wapi mwanetu au unaogopa kunaswa na vijana wa hovyo 😂 😁
Usiogope mwanangu Tupia picha usiwaogope wajaa wa jf 😎😎Wala mkuu
No nishatupia sana tu mbona niogope kitu gan?Usiogope mwanangu Tupia picha usiwaogope wajaa wa jf 😎😎
Haya saii niko na muda nibles kiongoziTayari?
Ziko wapi mwanetu 😎No nishatupia sana tu mbona niogope kitu gan?
safi sanaNimepata wageni wamenidai wali maharage 😃
Mpaji Mungu njoo uungane nao
@ephen ndiz zako kesho njoo Leo ule mandondo 😀View attachment 3085723
Sisi wasukuma hii kwetu ni dessert.Nimepata wageni wamenidai wali maharage 😃
Mpaji Mungu njoo uungane nao
@ephen ndiz zako kesho njoo Leo ule mandondo 😀View attachment 3085723
Nyie Tena 😀😀Sisi wasukuma hii kwetu ni dessert.
Mwambie akuleete bhana 😀Mpaji Mungu hataki kunileta🥲
🙏🙏Mungu kwanini ananibariki hivi?Nimepata wageni wamenidai wali maharage 😃
Mpaji Mungu njoo uungane nao
@ephen ndiz zako kesho njoo Leo ule mandondo 😀View attachment 3085723
Mpaka tuende Muhimbili uwekewe pulizoMpaji Mungu hataki kunileta🥲
Azam embe 🤣🤣🙏🙏Mungu kwanini ananibariki hivi?
Mapema tu mama sema vinywaji gani vije
Last born wetu huyo ana heka heka sana Kuna jambo la kifamilia tunamalizia atakuja ChristmasMwambie akuleete bhana 😀