Bantu Lady
JF-Expert Member
- Jan 9, 2014
- 8,900
- 28,398
Nimeipenda iko poa sana kibachela ya kibabe π π π π . Wanawake tuna mambo mengi, salon tu laki kadhaa zitaondoka. Sehemu unayoenda, chakula na marafiki. Bajeti inakuwa kubwa kidogoIjumaaa
jioni ugali makange 7500
Jumamosi
Sabuni ya unga 1200
Sabuni kipande 700 hapo
Maji ya 300 kufua tayari
Nauli kwenda na kurudi 1200
Jpili
Ibada sadaka 5000(bahasha 5)
Mihogo 1000
Msosi 10000
Weekend overππ
Nyie tu ndo mna mambo mengi wa huku uswahilini kwetu maintenance cost yao ni ndogoNimeipenda iko poa sana kibachela ya kibabe π π π π . Wanawake tuna mambo mengi, salon tu laki kadhaa zitaondoka. Sehemu unayoenda, chakula na marafiki. Bajeti inakuwa kubwa kidogo
Hivyo eeh? Ila inategemea na mtu, vitu anavyopenda. Mimi huwa ni zero kwenye matumizi ya hela. Sina bajeti, najibebea tu, zikirudi haya zikipotea kwa vitu vya kijinga haya. Napenda wenye bajeti, I wish niwe hivyo.Nyie tu ndo mna mambo mengi wa huku uswahilini kwetu maintenance cost yao ni ndogo
Mtu wa mpira, mtu wa kamari, mtu wa pombe au wanawake lazima watofautiane bajetiIla inategemea na mtu, vitu anavyopenda.
Hii inategemea mambo mengiMimi huwa ni zero kwenye matumizi ya hela. Sina bajeti, najibebea tu, zikirudi haya zikipotea kwa vitu vya kijinga haya
Hata ww unaweza kua na hvo simple tuNapenda wenye bajeti, I wish niwe hivyo.
Hebu Kata rabber band na urushe rushe kama pedeshee ndama mutoto ya ng'ooombe, achana na kalikiti kwanza πKibunda cha weekend, huwa unatumia kiasi gani katika weekend yako? View attachment 3089523
Kwanini unafuja pesa kiasi hicho?Ijumaaa
jioni ugali makange 7500
Jumamosi
Sabuni ya unga 1200
Sabuni kipande 700 hapo
Maji ya 300 kufua tayari
Nauli kwenda na kurudi 1200
Jpili
Ibada sadaka 5000(bahasha 5)
Mihogo 1000
Msosi 10000
Weekend overππ
Nakala Moja Kwa Atoto
Wapi nimecheza rafu hapoπ€Kwanini unafuja pesa kiasi hicho?
Tajiri huna baya tajiri ishi sana tajiriiiii π πKibunda cha weekend, huwa unatumia kiasi gani katika weekend yako? View attachment 3089523
Rwamishenye ππππ!Hahahaha!
miss you sana mnywani.
Nipo bukene huku ndani ndani, net ikikaa fresh albam nzima ntaishusha hapa.
Au ntakujia rwamishenye kabisa, usitoke balu tu
2000 tu Kajang za buku jmos pl Kajang za bukuKibunda cha weekend, huwa unatumia kiasi gani katika weekend yako? View attachment 3089523
.Rafik yako mm na bajet dam damHivyo eeh? Ila inategemea na mtu, vitu anavyopenda. Mimi huwa ni zero kwenye matumizi ya hela. Sina bajeti, najibebea tu, zikirudi haya zikipotea kwa vitu vya kijinga haya. Napenda wenye bajeti, I wish niwe hivyo.
wakija mnawachora kwaza af mnawakimbia wadada wa jf wanalalamikaKwa watani wangu Bukoba kumepoa sana, anyone around tuje tufurahie wikiendi maeneo haya..
View attachment 3089641
wenzetu pesa mnazipatia wapi mbona sisi tukitafuta hatuzipata tunapata matatizo juu ya shida Lamomy embu tujibuniUkwasi...
View attachment 3089645
Hapana hata kama mshikaji wewe njoo tu, why nikimbie mtu ndugu...wakija mnawachora kwaza af mnawakimbia wadada wa jf wanalalamika
Hapana hata kama mshikaji wewe njoo tu, why nikimbie mtu ndugu...
Unatumia hela nyingi sana, chakula cha afukumi ni chakula gani hicho! Acha anasa totoo.Wapi nimecheza rafu hapoπ€