Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sh ngapi unataka mzee? Una asset yeyote?mligoma kutukopesha matajiri wa jf
Nitumie ngapi 😂 😂 😁ndogo izo.
labda kama unafake ndio muhim lakn kama up mkweli wala si chakutisha kibaya kukutana na watu tu wa humuPrivacy mkuu muhimu sana
5 mbili unakunywa before kulalaNitumie ngapi 😂 😂 😁
Sawq ccyNilipitwa sis ngoja nimalize ubize kidogo badae nikija uibles weekend Yangu iwe buruda kipenzi
Ni hatari sana mkuu 😂 😁labda kama unafake ndio muhim lakn kama up mkweli wala si chakutisha kibaya kukutana na watu tu wa humu
asset ni kofia iyo ulio iona nataka million moja tuSh ngapi unataka mzee? Una asset yeyote?
Ngoja nianze kujaribu5 mbili unakunywa before kulala
yah kuna wtu wanatafuta kafara biashara zao ziendeNi hatari sana mkuu 😂 😁
Huko mtaani kuna microfinance nyingi sana.asset ni kofia iyo ulio iona nataka million moja tu
Hahahaha!Samalekoooo Mnywaniiiii !
Long Time kitambo sanaaa mnywanii ganya mafekeche uubles Usiku wangu jamaneee!
Miss you mnywanii 😍!
mtaani ukienda kukopa.kesh upo kwenye ubao wa matangazo ya wanaodaiwa kwa mtendajiHuko mtaani kuna microfinance nyingi sana.
Mfyuuu.!! Kwa ww hakuna hata wa kukukaba humu huhitaji privacy 🤣🤣🤣Privacy mkuu muhimu sana
Basi beti tu mzee, si nasikia wanasema hadi kuanzia 500 una beti, jaribu bahati.mtaani ukienda kukopa.kesh upo kwenye ubao wa matangazo ya wanaodaiwa kwa mtendaji
ahaha nishaliwa sana nataka mkopo wa matajir wa jfBasi beti tu mzee, si nasikia wanasema hadi kuanzia 500 una beti, jaribu bahati.
Jf kila mmoja ni tajiri, we kama umeshindwa kuwa tajiri jf ni tatizo lako.ahaha nishaliwa sana nataka mkopo wa matajir wa jf
sasa si ndio masiki wa humu kaka 😀Jf kila mmoja ni tajiri, we kama umeshindwa kuwa tajiri jf ni tatizo lako.