Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 25,425
- 59,309
Wewe ndiomana unavimbiana plate imejaa hivyo na maharage plus azam embe hiyo mibomu (usiku utashinda unajamba) 🤣🤣🤣Mboga za majani nyama 😎😎 Cc min -me View attachment 3089027
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ndiomana unavimbiana plate imejaa hivyo na maharage plus azam embe hiyo mibomu (usiku utashinda unajamba) 🤣🤣🤣Mboga za majani nyama 😎😎 Cc min -me View attachment 3089027
Waende nayo wapinishafuta au bado inaonekna?
Molte grazieMolto bene capo
kwaza na maajabu gani? similiki ata mshareWaende nayo wapi
kama hudaiwikwaza na maajabu gani? similiki ata mshare
Nakutania mzee...😄bro njoo pole pole mm sihusiki kbsa
Samalekoooo Mnywaniiiii !Kaka nipo kupokea mahali tu hapa mnywani
Tatizo watu washadownload humu kuwa makini kijana Cc and 100 othersnishafuta au bado inaonekna?
Mikopokama hudaiwi
Hutoki na mke wa mtu
Hauchangii kwenye siasa
Cha kufia nini
ndio maana najilipua naked kabisa siasa zenyewe za njaa hizikama hudaiwi
Hutoki na mke wa mtu
Hauchangii kwenye siasa
Cha kufia nini
mligoma kutukopesha matajiri wa jfMikopo
Nishakunywa kaka 😂 😁kunywa maji mkuu utapungukiwa maji mwilin
najua mkuuNakutania mzee...😄
lita ngapiNishakunywa kaka 😂 😁
3 kwa sikulita ngapi
Ya plastiki au ya bati mkuuMikopo
ndogo izo.3 kwa siku
Privacy mkuu muhimu sanakama hudaiwi
Hutoki na mke wa mtu
Hauchangii kwenye siasa
Cha kufia nini
😁😁😁Hiyo ya jana asubui.Kwenye faili zangu hii haipo ila fresh 🤣🤣🤣
Mimi members baadhi wananifaham kabisa sio shida sababu sina tatizo na mtuPrivacy mkuu muhimu sana