Ankal weka pic zako hizi hatutaki ππ
Hata za kilingeni we tupia
HiyoooView attachment 3089736Ankal weka pic zako hizi hatutaki ππ
Hata za kilingeni we tupia
Γ§a va bienππComment Γ§ava?π
Nitaenda na shemeji yako. Ama na marafiki zangu wa kike. Shida muda tu. Mpaka Vacay za Dec...Panga siku twende Mauritius hapo tukapunge upepo mzuri..
Nitakuwepo bukoba, nilikuwa huko Kampala na Entebe wenzetu wanatumia hela sijawahi ona. Nilitembelea viwanja kadhaa hapo Kampala Catwalk Lounge na Throne ni balaa tupu nilikaa siku kadhaa ila nilifurahia sana...Nimetingwa na familia na majukumu mengine rafikiiii!
Za masiku mingi??? Ushatoka Bk??
Nipo kwa Museveni kesho ntapita hapo naelekea Mwanza then Daslamu!
Haina shida ukiwa tayari unitafute kwa muda wako hapo jiji la Chalamila nikuchangie chochote rafiki...Nitaenda na shemeji yako. Ama na marafiki zangu wa kike. Shida muda tu. Mpaka Vacay za Dec...
Wewe toto wewe Kila kitu umepewaKibunda cha weekend, huwa unatumia kiasi gani katika weekend yako? View attachment 3089523
Mkuu naomba unibless hata 20 ya kuchukulia mzigo wa miguu ya kuku keshoKibunda cha weekend, huwa unatumia kiasi gani katika weekend yako? View attachment 3089523
Tajiri As-salamu alaykumNitaenda na shemeji yako. Ama na marafiki zangu wa kike. Shida muda tu. Mpaka Vacay za Dec...
Hapo kwa kuchangia usijali kabisa, najitosheleza kwenda popote duniani. Hii offer ningeomba apewe mwenye uhitaji rafiki. Ahsante sana kwa kujali πHaina shida ukiwa tayari unitafute kwa muda wako hapo jiji la Chalamila nikuchangie chochote rafiki...
Nimelipokea rafiki, ukaribie wakati mwingine Goba kiwanja chetu pendwa Eslava...Hapo kwa kuchangia usijali kabisa, najitosheleza kwenda popote duniani. Hii offer ningeomba apewe mwenye uhitaji rafiki. Ahsante sana kwa kujali π
MerΓ§i mon ami!Γ§a va bienππ
Habari za kupotea
Chino kama Chino. Namshukuru Mungu yeye ndiye muweza wa vyote. Nimekumiss sana sana ujue. Unapotea sana KapachinoWewe toto wewe Kila kitu umepewa
Salama kabisa.....Habari za kupotea
π₯π₯π₯π₯
Ukaribie sasa Makao makuu ya nchi πSalama kabisa.....