raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯Mi mkinga picha zangu za pesa, na nikituma vin kisukari kinampanda πππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯Mi mkinga picha zangu za pesa, na nikituma vin kisukari kinampanda πππ
Naongeza pombe kwa hizi pesa aseeπMi mkinga picha zangu za pesa, na nikituma vin kisukari kinampanda πππ
Mwachiiiiiiiiiiiiiiii πππmarafiki zangu ndio niny mnanikimbia duh
SIFUTIIIIII πππFuta hii lamoπππ
hahahaha!Chinno wana man ππ
Wewe upewe tuzo ya uvumilivu
Nooo hadi mimi?SIFUTIIIIII πππ
πππ pesa mbuzi hizo za maskini, humu tajiriiiii mmoja tu Bantu Lady πNaongeza pombe kwa hizi pesa aseeπ
π€£π€£π€£ sema kweli??hahahaha!
Umenipitisha kwenye vita vingi sana ujue! Lengo unibwage tu
Leo ilikua bado kidogo nioge miamala, bahati mbaya muda ukapita. Bantu Lady ana moyo wa kipekee sanaππππ pesa mbuzi hizo za maskini, humu tajiriiiii mmoja tu Bantu Lady π
hamnip madili mpaka nachakaa sasaiv nataka nije dar nitakuwepo kama wiki mbili hivi nitafutie dili hapo.kkoo nipate pesa bas nivae atta jordan au airforce nimefulia kijana wenuMwachiiiiiiiiiiiiiiii πππ
Mangi ww tajiri bana, wachaga wote wana pesa πππNooo hadi mimi?
Mangi ww tajiri bana, wachaga wote wana pesa πππ
Mangi ww tajiri bana, wachaga wote wana pesa πππ
Usinambie? Em tajiri Bantu Lady njoo utufanyie jambo..Leo ilikua bado kidogo nioge miamala, bahati mbaya muda ukapita. Bantu Lady ana moyo wa kipekee sanaπ
Sema dogo ulinichefua kukosa hivyo hizo Jordan ningekubless bila kutoa mia mbovuπππhamnip madili mpaka nachakaa sasaiv nataka nije dar nitakuwepo kama wiki mbili hivi nitafutie dili hapo.kkoo nipate pesa bas nivae atta jordan au airforce nimefulia kijana wenu
Mfano ukitoa fungu moja hapo ukanipa utapungukiwa nini?Mi mkinga picha zangu za pesa, na nikituma vin kisukari kinampanda πππ
πππ sema wachaga kwa ugimbi wameshindikanakuna wachaga wengine ni matajiri wa ulev sio wa pesa
Hahaha sio kwel na sio kwanguπππMangi ww tajiri bana, wachaga wote wana pesa πππ