Selfika na JF: Snap it. Show it

Huwa anaongea ukweli. Shida yako utani mwingi. Mi najua kila kitu wee nichore tu Mkinga wewe. Wakati wenu huu, nitakuja unifundishe biashara Odo.
Cantry anakudanganya kweli tena πŸ˜‚πŸ˜‚
Halafu sijui kwann hataki nipate hizo pesa jamani??
Anasikia raha nikimuomba pesa zake na bado hanipi Mxiuuuu 😹😹😹
 
Huwa anaongea ukweli. Shida yako utani mwingi. Mi najua kila kitu wee nichore tu Mkinga wewe. Wakati wenu huu, nitakuja unifundishe biashara Odo.
Serious, huyo ni mfanyabiashara kkoo. Sema kwenye kukufundisha atazingua
But angekua yupo loyal basi ingekua mteremko kwako. Kkoo kuna pesa Ila watu wa kushika wengine mikono ndio miyeyusho
 
Cantry anakudanganya kweli tena πŸ˜‚πŸ˜‚
Halafu sijui kwann hataki nipate hizo pesa jamani??
Anasikia raha nikimuomba pesa zake na bado hanipi Mxiuuuu 😹😹😹
Wee Mkinga kabila tu linakubeba. Ukute hapo unamalizia ghorofa la 3. Huku unatafuta nyumba Sinza 2B uivunje, ujenge lingine. Sikuwezi kabisa Odo ake. Mimi sina pesa, mpaka niombe home 🀭🀭🀭🀣🀣🀣🀣
 
Serious, huyo ni mfanyabiashara kkoo. Sema kwenye kukufundisha atazingua
But angekua yupo loyal basi ingekua mteremko kwako. Kkoo kuna pesa Ila watu wa kushika wengine mikono ndio miyeyusho
Weeh bana hizi sifa zako unazonipamba ndio zinafanya nashindwa kusaidiwa na matajiri ujue πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Em acha niwezeshwe
 
Mm kila kazi nafanyaπŸ˜‚
Kuna kipindi nikataka kujifanya afisa usalama, sema nikaamua kuacha huo mpango maana niliona siku si nyingi naweza kwenda kuvaa nguo za orangeπŸ˜‚
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mfyuuu!!
Cantry acha ujinga mbavu zinaniuma nitatapika pilau langu…
 
Wee Mkinga kabila tu linakubeba. Ukute hapo unamalizia ghorofa la 3. Huku unatafuta nyumba Sinza 2B uivunje, ujenge lingine. Sikuwezi kabisa Odo ake. Mimi sina pesa, mpaka niombe home 🀭🀭🀭🀣🀣🀣🀣
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
I receive hizi baraka na ziwe kweli πŸ™
 
Serious, huyo ni mfanyabiashara kkoo. Sema kwenye kukufundisha atazingua
But angekua yupo loyal basi ingekua mteremko kwako. Kkoo kuna pesa Ila watu wa kushika wengine mikono ndio miyeyusho
Wewe shem huwa unasema kweli na nakuamini kabisa. Ila mwache aendelee kunizingua. Uzuri ukweli uko wazi hakiharibiki kitu. Wafanyabiashara wakubwa wachoyo, kukwambia A,B,C za biashara. Hawataki kutoa siri mtajirike wote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…