π€£π€£π€£ mimi toka nimeanza kuonyesha dalili ya kutoka kipara naona ndevu zinashamiri kama uyoga na nywele za kichwani zinazidi kupukutikaπ π πinawezekana mkuu.mimi wastani wa siku 3 ndevu zinakuwa zimeshaota.
Kichwani naweza kuwa bado hazijarefuka ila ndevu tayari ziko nyingi japo huwa sipendi kuzimaliza zote labda kama nataka kubadili style ya kunyoa ndevu.π
ngoja nifanye kazi yanguNichome tu mkuu wala siwaziπ
Sawa bwana mafweleππngoja nifanye kazi yangu
unataka nifukuzwe kanisani sio?Sawa bwana mafweleππ
Tuma picha yako bwana mafweleπ€£Oya huu uzi huwa unahusu nini kwani maana nimeuvamia tu
Kumbe ndo hivo π π πTuma picha yako bwana mafweleπ€£
Kabisa mkuuπππzee la 60s hilo
wazee wenyewe hawajiheshimumshamba_hachekwi hauna adabu kwa wazee π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Tunajiheshimu sana mkuu, ila mbele ya ile kitu hutoniona kwenye habari ya heshima mkuuπ€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£wazee wenyewe hawajiheshimu
Hongera sana kwa biashara, utafika mbali.Njoo niungishe nipunguze kuhesabu magariπππππ
Hongera sana kwa biashara, utafika mbali.
Pia uwe unamwagia maji ya baraka humo, huo mkoa wakinga ni wachawi mno
HakikaaaTs weekend vibez!! π₯π₯π₯π₯
AmenπππππHongera sana kwa biashara, utafika mbali.
Pia uwe unamwagia maji ya baraka humo, huo mkoa wakinga ni wachawi mno
Wee sema kweli????!!Mimi pia napenda ,now nimetunza hata mdomo hauonekaniπ π π
Weee ndonini kufuta picha haraka hivo??? Do the needful urudiee hio namie nisafishe macho kwani!πππ ni asili tu
Mhm nitaandaa ya kwako nzuriπWeee ndonini kufuta picha haraka hivo??? Do the needful urudiee hio namie nisafishe macho kwani!
Kwamba humu tunatupia nzuri tu jamani? Au ulitumia ki itel batan kama changu π!Mhm nitaandaa ya kwako nzuriπ