Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

inawezekana mkuu.mimi wastani wa siku 3 ndevu zinakuwa zimeshaota.
Kichwani naweza kuwa bado hazijarefuka ila ndevu tayari ziko nyingi japo huwa sipendi kuzimaliza zote labda kama nataka kubadili style ya kunyoa ndevu.😄
🤣🤣🤣 mimi toka nimeanza kuonyesha dalili ya kutoka kipara naona ndevu zinashamiri kama uyoga na nywele za kichwani zinazidi kupukutika😅😅😅
 
😁😁😁 ni asili tu
Weee ndonini kufuta picha haraka hivo??? Do the needful urudiee hio namie nisafishe macho kwani!
 

Attachments

  • Screenshot_20240921-164114~2.jpg
    Screenshot_20240921-164114~2.jpg
    47.9 KB · Views: 3
Back
Top Bottom