Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Sana aiseeSis hilo Gauni ni zuriii,
[emoji1665][emoji833].
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
Shem lake hilo kiuti kimekaa mahala pake awwhh Kapeace shosti umejipata 🤣🤣🤣Unafikiri bado Kuna u hb umesalia? Usiome uzee ukufike.
Ila mapigo ya moyo yameenda mbio sana. Lamomy ana utovu wa ubinadamu.
Ila acha nijikakamue nitafute ndinga dharau zipungue. Niimalizie uzee Kwa heshima
View attachment 3104586
HaujamboSana aisee
Nililinua 2nd year miaka 9 iliyopita nikiwa pale Chuo chetu Cha kata
🤣🤣🤣 Shem kamind ndio atafute ndinga bana weeh.!!Handsome wa nguvu kabisa, usijikatae una tabasamu zuri kinoma
Lamomy mpambe nuksi huyo usimzingatie sana
Shem km shem huna baya, 🤣🤣🤣Nimecheka sana baada ya kusikia mpambe nuksi...neno chawa limeshika hatamu
Lakini ametoa ya moyoni
Imefungasha nyuma lawama 🤣🤣🤣weka picha
naskia mishangazi ya bukoba ni top notch
Wewe na mashangazi mpaka wakuue🤣🤣weka picha
naskia mishangazi ya bukoba ni top notch
Hiyo massage labda unifundishe mi najua mengineeee.........Shem km shem huna baya, 🤣🤣🤣
Chukua kapeace awe anakufanyia massage huku anakusaidia kutafuna kiinua mgongo..!!
Mi mpambe wenu niko pembeni nawamininia mvinyo huku nawachekesha.. 😜
Umeanzaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sana aisee
Nililinua 2nd year miaka 9 iliyopita nikiwa pale Chuo chetu Cha kata
Rangi yenyewe ya andazi hii juani si nitababuka🤣🤣🤣 Shem kamind ndio atafute ndinga bana weeh.!!
Atupakize kwenye gari huku tunasogoa sie… Nani anataka kuzurula juani km polisi wa kupinga maandamano 😹😹😹
Ntakufundisha had kumsinga mpk password ya bank akupe… ila kwenye mgao sitaki “ohhh shogaangu shika laki” wakati una million 10 cash mkononi 🤣🤣🤣🤣Hiyo massage labda unifundishe mi najua mengineeee.........
🤣🤣🤣 ndio hamna hamna basi hata Tvs shem naye..Bora kucheka kwenye bajaji....
Muhas itamtoa roho acha aendekeze ujinga wakeUmeanzaaa!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Umenikumbusha majuzi kuna dogo anaenda chuo 1St yr, sasa yeye anatakaa MUHAS, tena MD, awamu ya kwanza kakosaa.
Nikamuambia omba KCMC na BUGANDO, utapata, anajibu yaan baadae useme ni Daktari hujapita MUHAS, aaah wee.
afu hapo ana 1 ya 5. Nkamuambia baadaa ya 5yrs utaelewa, wee bado Njukaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Rangi ya pesa hiyo haitaki hekaheka inataka kiyoyozi 🤣🤣🤣Rangi yenyewe ya andazi hii juani si nitababuka
Shuntama hilo nalijua hafurukuti, ila hapo kwenye laki ndo kuna kipengele tena kizitoNtakufundisha had kumsinga mpk password ya bank akupe… ila kwenye mgao sitaki “ohhh shogaangu shika laki” wakati una million 10 cash mkononi 🤣🤣🤣🤣
Hamchelewi kumwambia shem huyo shost yangu aliugua kichaa ninapoanza kudai kifuta jasho 😹😹😹
Tumewekee na shuntama unaonaje? 😂
wekeni hapa tuone mshangazi wa njombe vs wa bukobaImefungasha nyuma lawama 🤣🤣🤣
😅😅😅hawezi kukosa wanaume jf wote wana ndinga, ni mafaza house wanaopeleka moto vibaya🤣🤣🤣 ndio hamna hamna basi hata Tvs shem naye..
Anza wewe kwanzawekeni hapa tuone mshangazi wa njombe vs wa bukoba
mimi sio mshangaziAnza wewe kwanza