Hahaha sawa kijana, ngoja na mimi leo nipite . . .wataogopa hapa kaka
Ngoja nilale mie kabla kisukari hakijapandaπππAmani itoke wapi watu wanatekwa πππ
Mahi Nkamu wangu ana kitu kimemkaba nataka nimsaidie akitoe.!!
Ujue kukaa na kitu moyoni sio vizuri unaweza kupata kiungulia π€£π€£π€£
Odo una balaaa mamaahhh πππLamomy TBT hii. Haikai View attachment 3104763
Ooh vizuri kusikia hivyo. Selfika basi, na mbona umecheka nilivyokujibu salamu? πAm good, nilikua nashangaa tu hio figure namba V8...
We kweli bantu lady...
Na mie nikaweke x niangalie πΉπΉNgoja nilale mie kabla kisukari hakijapandaπππ
you finna post old man?Hahaha sawa kijana, ngoja na mimi leo nipite . . .
Hips mfarakano hazina ushirikiano πππHips zipo sio za kukaa upande upande km alizosema Saint
Mimi hapa nkamuKumekucha ππππ
Nkamu nilitaka kuaga naona unanivuta niendelee kukaa πΉ
Nani anaforce na kuinamisha camera kwani??
Au coca?? Hebu mtaje kwanza
Nina vihips ila kwa bantu sitoboi nilitaka niwawekee yangu ila nimeghahiriHips mfarakano hazina ushirikiano πππ
Bora wawe flat km mimi basi kwani kuna shido?
Whatβs got you feeling lit?you finna post old man?
Tunaendelea tulipoishia πππMimi hapa nkamu
Si umeona avatar nimeforce kulaza cameraπ
Sena bahareee
Kaoge mweee
Nkamu macho yako yana darubini?Nkamu kuna vayolensi una roast nakuzoom πππ
Lakini Odo jamani Odo mweeh π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ kaone kwanza karembo haka. Nataka mwili kama wako, nitajipunguza mpakaaaOdo una balaaa mamaahhh πππ
Nyie kumbe tunaishi na malaika duniani??
kikiboxer shem jishike hilo odo la moto watakuibia aloooh πππ
Ndio nataka kula hapaTunaendelea tulipoishia πππ
Nkamu umekula takapela chungu leo π€£
Mbavu zinaniuma mwenzio
Nilikuuliza 'dada habari?' kama kutoa appreciation na kukubali neema za Allah, ukanijibu kama nimekusalimu ukaongeza na habari za siku... Thats why nilicheka πOoh vizuri kusikia hivyo. Selfika basi, na mbona umecheka nilivyokujibu salamu? π
Weka tu mwayaNina vihips ila kwa bantu sitoboi nilitaka niwawekee yangu ila nimeghahiri
Nitakuchapa unajua π π π π za upande upande. Mtakatifu Anne naye ana maneno kama Odo wangu. Utasema mapacha, wanachekesha balaaHips zipo sio za kukaa upande upande km alizosema Saint
Safi kabisa, inapendeza kijana but haka ni katoto mbona? 30 years itakuhusuhuyu hapa
Let's see that 'whole recipe' you said you got.Whatβs got you feeling lit?