Aulizwe huyo mpuuzi lamomyDuh!!
Dada habari za leo?
Huyo hapana ana roho ngumu sana itakuwa ni wale wanawake hata ng'ombe ana chinja...Aulizwe huyo mpuuzi lamomy
Hahaha wewe na BL mnatofauti gani??Mzigo wa bl unajaa na kumwagika hapo wwe
ππNaweza enda nayo kesho NMB mkuu ombea mkopo
ππHahaha wewe na BL mnatofauti gani??
Kwa kweli ninalo la kuwasimulia. Si mchezo, watu mmetulia kimya kumbe vifaa haswa. Hongera kipenzi. Sijui hawa cheka tu wamepotelea wapi. Lamomy Saint Anne mnapitwa na vitu vizuri huku ohoooHaya utamsimulia lamomy na rafiki yake Saint vitoto ving'ang'anizi balaa
Mamaahh πππLitakalonipata lawama kwako Lamomy
Walioniquote bado inaonekana π’π’Kwa kweli ninalo la kuwasimulia. Si mchezo, watu mmetulia kimya kumbe vifaa haswa. Hongera kipenzi. Sijui hawa cheka tu wamepotelea wapi. Lamomy Saint Anne mnapitwa na vitu vizuri huku ohooo
Ni Mali na nusu mkuuππ
Kubwa la maadui wewe tena!! Team fisi majiMamaahh πππ
Chuma hiki hapa sasa.!!
Mtoto potabo juu mdogo chini sasa wohiiii lawama tupu π
Mpk nimesisimka, sijui kina mshamba wana hali gani.!! ππ
The Monk balaa umeliona huku.??
JF kuna visu hiki chenyewe kinakata unahonga mpk ada za watoto aisee.!!
Monk hao watoto wakasome gavaa elimu ni elimu tyuu.!!! Kikubwa kuishi na kapeace kwanza πΉπΉπΉ
Ndiyo maana niliandika comment kitofauti, kupisha kuquote. Nilijua itabaki. Ingekuwa watu wote hatuquote picha. Mbona tungekuwa tunaselfika sana humu.Walioniquote bado inaonekana π’π’
Nimeona nilienda kukojoa na kuzima taa kwanza πππKwa kweli ninalo la kuwasimulia. Si mchezo, watu mmetulia kimya kumbe vifaa haswa. Hongera kipenzi. Sijui hawa cheka tu wamepotelea wapi. Lamomy Saint Anne mnapitwa na vitu vizuri huku ohooo