Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Hadi Chocho za kuripoti picha kanazijuaππππWewe tena kizee cha kuripoti πΉπΉπΉ
Unazijua mbinu zote za kuripoti mpk pic
Hamna sio kihivyoo πMzee wa papuchi huna baya
Amin amin, waooohKwa mamlaka niliyo pewa kutoka kusini mwa jf nakuambia pumzika ulale unono Mimi kijana kutoka kigamboni nakutakia usiku mwema na nitakusomea Dua kwa mungu akukinge na wachawi wenye husda inshallah π
Nimepitwa aisee irudiweMlale sasa
Unalala sana mpk Unapitwa na vitu vikali mzee wa tandam πππKuna maandamano ila kuna Kapeace alafu kuna Bantu Lady
Ebhanaeeeee π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯
We hata mbinguni utapitwaaaNimepitwa aisee irudiwe
ππ€£Zulu man msaada uedit, picha ifutike.
Alafu kuna Lamomy cheupe dawa a.k.a divaaaaaaaaa ππ₯π₯π₯Unalala sana mpk Unapitwa na vitu vikali mzee wa tandam πππ
Kesho tujiandae na pic za shangazi ninavyomjua lazima apanic πππKumbe nikifungua Kwa
Aliyekuquote naona
Mnazidi kupika tu rekodi za watuππΏππΏπ₯π₯
Dada mzuri uwiii
Hadi simu imepata nurβ₯οΈπππ
Aisee
Huyu Mungu
Nyie ndio mtakuwa wale wa udongo wa VIP hatariπ₯π₯π₯π₯
Nisamehe kapeaceUna roho mbaya sana kuliko mwandiko wako
Report tu inafutika tajiri usiogope bodigadi nipo hapaOdo ake kipenzi, naomba uedit ifutike picha π₯°π₯°π₯°
Leo hata usingizi utakuwa mzuriWote tuseme Amen π
Haya mabinti sayuni tukalale tuwaachie lindo waebrania πΉ
Umefanya nikuone malaika wa zamu, sawasawa mkaka mzuri mzuriNisamehe kapeace
Let me find my quote...
Unajua ni vibaya kuwa udhi nyinyi warembo
Mi mwenyewe niko mpwapwa mkuu πΉπΉUmejuaje...
Mimi huku uchindile mtandao unazingua kinoma
Picha zinakuja na kiza kiza...
Huko mjini kwema??
Shangazi hajare Wala niniKesho tujiandae na pic za shangazi ninavyomjua lazima apanic πππ
Nkamu kilabho β
kabisaKazi sana
Mi zangu mniwekee pm huu uzi sio mkaaji, au ulidhani nitakuacha hivi hiviπ€£π€£Kesho tujiandae na pic za shangazi ninavyomjua lazima apanic πππ
Nkamu kilabho β
πππ mahi tulale kesho.!Wameisave watapeana huko mafichoni hiyo sio shida yangu, ila kwenye huu uzi itoke, halafu sasa mtu ajichanganye aje aitume kwingine atajua hajui