Wewe usikasirike bwana.Kwenye hiyo comment niliyokunukuu 🤣🤣🤣unajua unanikasirisha lkn nacheka tu
Usinifanyie hivyo pliziii mchwitiiii wake nani!!! Kumbe uromantic nauweza weza, kaedit bhana sumbaaWewe usikasirike bwana.
Picha nzuri inamatumizi mengi, Acha vijana wafurashishe macho
Kalialia FCNajua vitu vingi tu mkitaka mseme nawasaidia hapa hapa kulinda privacy muhimu sana 😎 😎
WoyooooooLipstick sio shida zangu mama Junia View attachment 3104897
Niliitolea macho na nilikuwa napiga bia hapa nikasema kwa sauti kubwa moyoni mashallah 😎 😍 mungu fundi huyu aisee Leo siku yangu imeenda fresh enewei mungu fundi sana yaani sana 😎Pole kwani ulifumba macho wakati unaiangalia hiyo picha?
Alikuja na fekero kajichekesha hapa, sijui km karudi upya mana mwenyewe sikuwepo bado sijakusanya data zangu 🤣🤣🤣
Hii inakuwaje V hebu nipe mautunduChukua hiyo kama unatumia Tapatalk delete picha Yako ata alie quote atoipata Tena
😂😂😂 dred ss hivi anazoBora
Atupumzishe na za ukuta aisee
Sijui anakuja na Msuko gani Madam wetu jamani
Auntie
Ni app ipo playstore ni Ina host jf yaani ukidownload unaunganisha na jf yako afu unatumiaHii inakuwaje V hebu nipe mautundu
Si atakuwa kama Ras sasa muimba reggae😂😂😂 dred ss hivi anazo
Yani lipstick ndo sijuagi kujipaka wala makeup, na nikijikakamua kupaka najionaje sijui ila wengine naona wanapendezaAuntie
Aisee
Wewe ni wa kimataifa kwenye hii sekta ya lipstick na kupika
Upo juu mawinguni🔥🔥🔥🔥
Lips 🥰🥰
Hello habari naitwa vin kutoka kigamboni je naweza kukununulia abaya la laki 5?
Hivi ini ndio nani jamaniAlikuja na fekero kajichekesha hapa, sijui km karudi upya mana mwenyewe sikuwepo bado sijakusanya data zangu 🤣🤣🤣
Ila ww mkorofi kwann uniulize hilo swali mimi??
Wewe si shosti yako 😂😂
Ila huyo ini alichowafanya hamtakuja msahau halafu yupo anawachora tyuu.!!
😂😂😂yani wewe ulitakiwa upewe mjulubeng kule downtown kwahiyo wifi yako aifute chap ila wengine aahhh walahi kesho utafute pa kujifichaLips 🥰🥰
Wii futa wataiba mali ya kaka nasikia wivu
Huyu dada anaiwezea sana aiseeYani lipstick ndo sijuagi kujipaka wala makeup, na nikijikakamua kupaka najionaje sijui ila wengine naona wanapendeza
Hahah mm napenda sana nilikosa bas hata wese mdomo ulainike 😀😀Yani lipstick ndo sijuagi kujipaka wala makeup, na nikijikakamua kupaka najionaje sijui ila wengine naona wanapendeza