Ni tetekuwanga na ipo chorus, muwahi matibabu leo leo, ngoja waje wataalamuWazazi, madaktari na wenye uzoefu hivi hii ni tetekuwanga kweli????
Haviwashi ila vinamletea mtoto homa anachemka balaa! spidernyoka Naomba mwongozo
KalpanaMm nimeshaloweaaa huwezi nitenganisha nao...πππ
Hee kumbe! Uwiiii!Ni tetekuwanga na ipo chorus, muwahi matibabu leo leo, ngoja waje wataalamu
Mibazi haitasaidia kwa hapo vilipo, nenda tu wakupe za kizungu, kuna dawa naijua ingewwza kumsaidia ila km tu ingekuwa ndo ile vimeanza viwili vitatu vinne,Hee kumbe! Uwiiii!
Asante sana kwa mwongozo! Ngoja nimuwahishe hospitali nitafute na mitishamba make nishakua nguri wa mibazi!
Huu ulanzi, mzee umelewa nini?Mhm wakwetu , hizi mbege za siku hizi sijui wanaweka nini π€ View attachment 3105188
Weee usiache kuja banaaa ukija panachangamka sana!Jana nilijazwa hivihivi, tena jua lote hili aaaiiiih sitaki nitaacha kuja kuchungulia humu
Kabisa mamy Naenda hospitali ila si unajua wakaire na wenyeji wakimwona tu wanantajia mbiriziπ!Mibazi haitasaidia kwa hapo vilipo, nenda tu wakupe za kizungu, kuna dawa naijua ingewwza kumsaidia ila km tu ingekuwa ndo ile vimeanza viwili vitatu vinne,
Hivyo ndio vilivyomchanganya smart eh!!Weee usiache kuja banaaa ukija panachangamka sana!
Ndo kulivo hukuu ni kupazoea tu ! Weee mzuri mzuri tu nimeona leo asubuhi hongera sanaaaaa!
Uko motroooooo π₯π₯π₯π₯π₯π₯π₯πππππ!
Lipss za kunyonywa na anaejua denda hadi ukate motro kwa utamu zileeee !π₯π₯π₯
Nimelewa mkuuπHuu ulanzi, mzee umelewa nini?
Watakudanganya yani hapo kupoa kwa mbirizi sio rahisi, kuna majani yanaitwa mgango yanatibu hiyo kitu ila iwe kwenye hatua za awali kabisa, mpeleke watamuandikia hata sindano ikibidiKabisa mamy Naenda hospitali ila si unajua wakaire na wenyeji wakimwona tu wanantajia mbiriziπ!
π€£π€£π€£π€£tunajua hadi tunakera..haha!We upo kwenye wale niwapendao, napenda wanaume wakubwa jamani uwiii
Yani ombeni siku ya mwisho niwe lindo wote mtaingia mbinguniπ€£π€£π€£π€£tunajua hadi tunakera..haha!
Sisi wazee bwana, yaan watoto wazuri tunaangalia tuu hatuna chakuwafanyaWakubwa wakubwa wa enzi hizo si ndo hao wazee wa saiv japo wanaulazimisha huo uzee wenyewe
π€£π€£π€£ππ€£Yani ombeni siku ya mwisho niwe lindo wote mtaingia mbinguni
Labda uwe unapenda watoto wa afu 2, ila wapo wadada 30-35 wasupuu hata 2000's hawagusiSisi wazee bwana, yaan watoto wazuri tunaangalia tuu hatuna chakuwafanya
ππππ nahisi mimi nitakua siti ya mbele kabisaYani ombeni siku ya mwisho niwe lindo wote mtaingia mbinguni
Wote mtaingia sio kwa mnavyonipa rahaππππ nahisi mimi nitakua siti ya mbele kabisa
Starring kama Starring yule kichaa mwenzangu akili zetu wote mbili kasoroπππππππππ!Hivyo ndio vilivyomchanganya smart eh!!
Kwahiyo mpaka asbh ilikuwepo mbona ilifutika usiku!! Itabidi nitafute maujanja ya kufuta picha km wadau walivyoshauri,
Hawa jamaa zangu hawajui, ukutane na mdada wa kwenye 30s hakika utasahau mengine yote duniani.Labda uwe unapenda watoto wa afu 2, ila wapo wadada 30-35 wasupuu hata 2000's hawagusi
Watoto WA elfumbili ni balaaa wanaweza kukuua.Labda uwe unapenda watoto wa afu 2, ila wapo wadada 30-35 wasupuu hata 2000's hawagusi