Shukrani sana kwa mwongozo dear!Watakudanganya yani hapo kupoa kwa mbirizi sio rahisi, kuna majani yanaitwa mgango yanatibu hiyo kitu ila iwe kwenye hatua za awali kabisa, mpeleke watamuandikia hata sindano ikibidi
Wapambe utawaweza basi, sijawahi kutupia picha full kwenye huu uzi jana ndo nilijikakamua, nyingine za kudanlod mtajiju nyie si mnapenda kusafisha macho
Labda upate corporate, Ila hawa wamtaani vizinga vyake hapana kabisa.Hawa jamaa zangu hawajui, ukutane na mdada wa kwenye 30s hakika utasahau mengine yote duniani.
Usichukue shangazi mwenye njaa hujamsoma Mtibeli kwaniπ π kila mtu ashinde mechi zakeWatoto WA elfumbili ni balaaa wanaweza kukuua.
Hao mashangazi 30-35 tatizo mizinga mingi saana.
Tena Ile mizinga mikubwa mikubwa
Ngoja nikamsome....Usichukue shangazi mwenye njaa hujamsoma Mtibeli kwaniπ π kila mtu ashinde mechi zake
Hizo pigo nimeletewa sana nilivokua olevel nikiwatupia mistari wakina Aaliyyah pigo zao zilikua boyfriend wangu yupo five na six we mdogoNyakati huja na kuondoka, acheni tuzeeke, na nashukuru sikuwahi date schoolmate si shule wala chuo, mi ni mpenda wanaume wakubwa wakubwa ndo maana
Maua yetu tupeweeπ π sema tukipiga matukio nchi inatetemaHawa jamaa zangu hawajui, ukutane na mdada wa kwenye 30s hakika utasahau mengine yote duniani.
Sisi iwe fek au original vyote heri...Wapambe utawaweza basi, sijawahi kutupia picha full kwenye huu uzi jana ndo nilijikakamua, nyingine za kudanlod mtajiju nyie si mnapenda kusafisha macho
Kakimeo kako ni kambea
Mi hata haikuwa hivyo, niko form 3 lakini moyo ulikuwa unahusudu wanaume age km za maticha, na ndio hao hao walikuwa wakinimendea zaidi, hao fom 6 bado niliwaona watoto, ndivyo nilivyo mpaka kesho sitegemei kubadilika kwa umri nilionao sasa napenda 43- 52 hapo hapoHizo pigo nimeletewa sana nilivokua olevel nikiwatupia mistari wakina Aaliyyah pigo zao zilikua boyfriend wangu yupo five na six we mdogo
Ukifika anga za five na six utasikia boy wangu Yuko chuo
Ukifika chuo utasikia wangu Yuko TRA and so on kwaiyo nakuelewa sana.
Rost ama meat ballsMi nataka sotojo la nyama ya kusaga halafu nitakubless kafoto
Asanteni sana πΉπΉSisi iwe fek au original vyote heri...
Kikubwa ni pisi corporate ya kwenda
Yaan acha tu ni mzuri sanaBantu Lady namkumbuka sana mrembo wa JF mtani wangu ni mrembo haswaaa..
Wakurya ni visu nyie..halafu wako smart
Rost la kulia wali au chapati hiyo meat ball ndo nini tena?Rost ama meat balls
Naam,Mi hata haikuwa hivyo, niko form 3 lakini moyo ulikuwa unahusudu wanaume age km za maticha, na ndio hao hao walikuwa wakinimendea zaidi, hao fom 6 bado niliwaona watoto, ndivyo nilivyo mpaka kesho sitegemei kubadilika kwa umri nilionao sasa napenda 43- 52 hapo hapo
Acha wapambe sasaWapambe utawaweza basi, sijawahi kutupia picha full kwenye huu uzi jana ndo nilijikakamua, nyingine za kudanlod mtajiju nyie si mnapenda kusafisha macho
Kakimeo kako ni kambea
Hahaha safari kubwa zenye mafuta mafuta na zinazojua kujiswafi.... Kaka ni tamu saanaIla kitu nimegundua safari ndogo zina ubora kuliko safari kubwa π€π€π€