Basi nitarudi ila ndo usiku mneneπ π π wenye simu umbea km yako mtakuwa mnakutana nazo asubuhiAcha wapambe sasa
Kuna Wapambe Kazini ni zaidi ya hatarii!
Za kudalod Hivooo hivooo illimradi uzi udamshii!
Mwenyewe na kimeo changu natuma hivooo hivooo sijareee wala neneee! Venye hakuna anaenidai awwwwππππ
sio shida zangu kabesaaaaaaa!
Hamna kaka na maanisha bia za tanzania πππHahaha safari kubwa zenye mafuta mafuta na zinazojua kujiswafi.... Kaka ni tamu saana
Wanaita six cylinder
ππHamna kaka na maanisha bia za tanzania πππ
Mpigie ephen kakaππ
Mtume sharubati sasa ya mgonjwa, jana lamomy na shoga ake Saint walinikomalia vibaya nikajikuta naelekea kibra km mbuzi wa kafara
Unataka pension yako uivute mapema tu.Mi hata haikuwa hivyo, niko form 3 lakini moyo ulikuwa unahusudu wanaume age km za maticha, na ndio hao hao walikuwa wakinimendea zaidi, hao fom 6 bado niliwaona watoto, ndivyo nilivyo mpaka kesho sitegemei kubadilika kwa umri nilionao sasa napenda 43- 52 hapo hapo
Weee mie na vijana wapi na wapi????Nyinyi mnapenda vijana wenye six park Sisi wazee wafupi vifutu na vitambi picha zetu tukipiga hazitoki vzr
Nawe pia utupie mnywanii nimemiss foro yako Kitambo sanaaa
haha nani wewe eh?Yaan acha tu ni mzuri sana
Kwamba ilimradi kitobo kipo!Sisi iwe fek au original vyote heri...
Kikubwa ni pisi corporate ya kwenda
Msaidie sana huyo mzeeKwamba ilimradi kitobo kipo!
Huko mbinguni hata kufika Hamtafika ujue!ππ
Usijali mnywaniNawe pia utupie mnywanii nimemiss foro yako Kitambo sanaaa
Wew tu bossMimi kwakweli nasubiri uweke nimfowardie apate darasaaaaaaa.
Lini uje umpe darasa ?
Muwe makiniWeee mie na vijana wapi na wapi????
Weee six pack hailipi billss weeeh!!
Wazee ndo wazuriii wanajielewa afu wanajua kutunzaaaaa yaniii waelewa mnooooo!
Unaenda nae aste asteeee asije fia kwenye kinenaaa!
Ukutane na mzee wa kileo sasa utafurahi naroho yakooooππππ€!
Sema nishaachana na hekaheka za ujana nimekituliza sasa!