Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Acha wapambe sasa

Kuna Wapambe Kazini ni zaidi ya hatarii!

Za kudalod Hivooo hivooo illimradi uzi udamshii!

Mwenyewe na kimeo changu natuma hivooo hivooo sijareee wala neneee! Venye hakuna anaenidai awwww🐒🐒🐒🐒

sio shida zangu kabesaaaaaaa!
Basi nitarudi ila ndo usiku mnene😅😅😅 wenye simu umbea km yako mtakuwa mnakutana nazo asubuhi
 
Mi hata haikuwa hivyo, niko form 3 lakini moyo ulikuwa unahusudu wanaume age km za maticha, na ndio hao hao walikuwa wakinimendea zaidi, hao fom 6 bado niliwaona watoto, ndivyo nilivyo mpaka kesho sitegemei kubadilika kwa umri nilionao sasa napenda 43- 52 hapo hapo
Unataka pension yako uivute mapema tu.

Niliposemea Mimi advance huko mbeya mtoto wa kike kama wewe ili uwe safe lazima uwe na mtu Yani unatongozwa kibabe utake ukubali lazima uchukuliwe.

Shule za serikali za zamani haha zilikua zinaendeshwa kitemi sana (Mimi mwenyewe niliokotaga dodo pitia huu mpango)
 
Nyinyi mnapenda vijana wenye six park Sisi wazee wafupi vifutu na vitambi picha zetu tukipiga hazitoki vzr
Weee mie na vijana wapi na wapi????


Weee six pack hailipi bills akhaaa! !!

Wazee ndo wazuriii wanajielewa afu wanajua kutunzaaaaa yaniii waelewa mnooooo!

Unaenda nae aste asteeee asije fia kwenye kinenaaa!

Ukutane na mzee wa kileo sasa utafurahi naroho yakoooo😁😁😁🤭!

Sema nishaachana na hekaheka za ujana nimekituliza sasa!
 
Weee mie na vijana wapi na wapi????


Weee six pack hailipi billss weeeh!!

Wazee ndo wazuriii wanajielewa afu wanajua kutunzaaaaa yaniii waelewa mnooooo!

Unaenda nae aste asteeee asije fia kwenye kinenaaa!

Ukutane na mzee wa kileo sasa utafurahi naroho yakoooo😁😁😁🤭!

Sema nishaachana na hekaheka za ujana nimekituliza sasa!
Muwe makini
Wazee wengine ni dizaini ya regional commissioner wa simiyu mnywani.
 
Back
Top Bottom