Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Haha
We just have funny
Mimi hua sijui kukasirika mnywani.

Sana sana nikiona kuna dalili ya uvunjifu wa Amani na log out
Safi sana hioo Utaishi maisha marefu sana mnywanii!

Mimi silog out wala nenee huwa nakomaa na jeshi la Mtu mmoko hadi mwishoooo😁😁😁😂!

Na siombi silaha wala kuomba msaada wala kampani 🕺💪😁😁😂😂!
 
No nimewaambia waamke usiku sana. Huwezi amini, nilikuwa nafanya majaribio, nimeacha muda mrefu, imefutika kote. Yaani ni mwendo wa kuselfika tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Itabidi niipitishie kwako, ila leo nimechoka jamani na somo la kufuta halijanikaa bado ila sina haraka nitajua akili imechoka leo mapema naangusha
 
6 years
Jana asubuhi nivoamka niliona vipele kama viwili hivi ameenda shule amerudi jioni naona vimeongezeka viwili vitatu kuamka asubuhi Alooooooohh vimejaa!

Nimempeleka hospitali wamempa dawa kama lotion hivi ya kupaka na tablets!

Ni watoto wengi wanavo inaonekana vinaambukiza kwani kuna watoto anaocheza nimeambiwa nao walikua navyo!

Huku Ni kama ugonjwa wa msimu especially kwa Watoto
Chicken pox poleni watakaa vizuri kama ana mdogo wake inabidi wajitenge ili wasiambukizane
 
Safi sana hioo Utaishi maisha marefu sana mnywanii!

Mimi silog out wala nenee huwa nakomaa na jeshi la Mtu mmoko hadi mwishoooo😁😁😁😂!

Na siombi silaha wala kuomba msaada wala kampani 🕺💪😁😁😂😂!
We ni mtata sana mnywani
Uko kama mpalestina hata upigwe missile za namna gani

Zako ni takbirrr unasonga mbele
 
Back
Top Bottom