Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Hongera sana wali huwa unawashinda sana menHongera sana mimi pia kwenye upishi wa wali nipo vizuri 😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera sana wali huwa unawashinda sana menHongera sana mimi pia kwenye upishi wa wali nipo vizuri 😎
Nimepitwaaa tenaa? Mie fungu la kukosaa wallah.Huo mguu tunataka kufanana..[emoji3059][emoji3059][emoji3059] hongera dada mrembo....ngoja wakulungwa wachukue waifanyie utafiti...
Yani umeona eee..yani kile kifeeling cha kukosa kuona...venye kina disturb...😃😃😃Hapa watu ndo wanapochanganywq kumbe, unakuta sifa kemkem picha imefutwa😅😅😅 sasa nimejua ulichopitia
Safi sana hioo Utaishi maisha marefu sana mnywanii!Haha
We just have funny
Mimi hua sijui kukasirika mnywani.
Sana sana nikiona kuna dalili ya uvunjifu wa Amani na log out
Itabidi niipitishie kwako, ila leo nimechoka jamani na somo la kufuta halijanikaa bado ila sina haraka nitajua akili imechoka leo mapema naangushaNo nimewaambia waamke usiku sana. Huwezi amini, nilikuwa nafanya majaribio, nimeacha muda mrefu, imefutika kote. Yaani ni mwendo wa kuselfika tu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kinakereketa vibayaYani umeona eee..yani kile kifeeling cha kukosa kuona...venye kina disturb...😃😃😃
Kabisaaaa,Ili ujilalie zako mapema...
Coca unanishindaga tabia luv. Huwa nakuona hapa na huoni 😅😅😅😅. Bado una tatizo la kutoona picha? cocasticMie zako zote nimepitwaa, nionee hurumaa BL, nibless once.
Afu ndo nilalee, [emoji8][emoji8][emoji8]
Hiyo kampuni inajua kutongoza sina hamu nao tena ngoja niende kabla hawajajaBasi mpk waje wabembelezwe na vivuruge wao kina Saint Anne na Aaliyyah
Yaniii mi ntaendelea kesho akinipa mwongozo!Mi mwenyewe imenichanganya hapo nikasema mh nisije jikuta nimeenda kusiko
Asante na kwako mama smart mpe pole mtotoYaniii mi ntaendelea kesho akinipa mwongozo!
Mrare unono wapendwa kesho nayo siku!💤😴💤😴💤💤😴😴💤😴💤😴
Chicken pox poleni watakaa vizuri kama ana mdogo wake inabidi wajitenge ili wasiambukizane6 years
Jana asubuhi nivoamka niliona vipele kama viwili hivi ameenda shule amerudi jioni naona vimeongezeka viwili vitatu kuamka asubuhi Alooooooohh vimejaa!
Nimempeleka hospitali wamempa dawa kama lotion hivi ya kupaka na tablets!
Ni watoto wengi wanavo inaonekana vinaambukiza kwani kuna watoto anaocheza nimeambiwa nao walikua navyo!
Huku Ni kama ugonjwa wa msimu especially kwa Watoto
Kumbe ile picha siyo wewe mwenye beard muone. Kwanini ulidanganya watu. Kichwa kama Iringa 😂😂😂😂😂
Wanaweza vibayaaa mnoo...Hiyo kampuni inajua kutongoza sina hamu nao tena ngoja niende kabla hawajaja
We ni mtata sana mnywaniSafi sana hioo Utaishi maisha marefu sana mnywanii!
Mimi silog out wala nenee huwa nakomaa na jeshi la Mtu mmoko hadi mwishoooo😁😁😁😂!
Na siombi silaha wala kuomba msaada wala kampani 🕺💪😁😁😂😂!
sawa ilo tu limepitMwachi bado chalii duh, uwe unatusalimia shangazi zako