Tatizo tunakimbizana na pesa hatuko active sana siku hizi humu, mwisho wa mwaka na sisi km wachaga tunafunga hesabu tumeongeza nini kwa mwaka mzima..! 😹
Mrembo wadunia...Hakika 🥰
Umepotea au Mimi ndo mimepotea sn
Windhoek nayo bia ya kiume sana…😂😂Nilikuaga nainywa nikaacha. Nilikosa Windhoek nikaagiza hiyo ila sikuipenda nikainywa Basi tu pesa yangu isiende bure 😂😂😂😂
BossTatizo tunakimbizana na pesa hatuko active sana siku hizi humu, mwisho wa mwaka na sisi km wachaga tunafunga hesabu tumeongeza nini kwa mwaka mzima..! 😹
Nimepita mara moja kuwapa hi haya waselfike sasa tuanze, vipi shangazi alikuja kwenye mchuano? 🤣🤣🤣
😂😂😂 Ngabu ntakuchapaHivi auntie hapo dukani kwako unavyo viwalo vya Amiri? 🤣
Kama unavyo, vinaitwaje hasa? Hamiri au Amira?
😂😂😂 sis BUCCI baby
Muombe bl mama wa vocha akuwezeshe 😹Nilikua Sina bando aisee😂
🤣🤣🤣Nna maradhi ya uzee nyemelezi mjukuu wangu. Unataka kumpatia mwenzio mada kesi?
Uko salama lakini?
Odo nitakuchapa, mwache shemeji yangu. Shemeji ndiyo atupe mashemeji zake. Jana sijui ulifichwa wapi wewe mrembo.Muombe bl mama wa vocha akuwezeshe 😹
Nna mimba dr kanikataza kujipiga pic 🤣🤣Boss
Chat na kapicha...
Huyo Dr nna wasiwasi nae. Ngoja tukutafutie malimao na ndimuNna mimba dr kanikataza kujipiga pic 🤣🤣
Toka siku ile nilikuwa busy kweli kuuza vijora nipate bando la kujoin humu boss 🤣🤣🤣Odo nitakuchapa, mwache shemeji yangu. Shemeji ndiyo atupe mashemeji zake. Jana sijui ulifichwa wapi wewe mrembo.
😂😂😂 Mimba yangu haipendi vitu vichachu, labda chips kuku 😜Huyo Dr nna wasiwasi nae. Ngoja tukutafutie malimao na ndimu
Shangazi aliamka na tetekuwangaTatizo tunakimbizana na pesa hatuko active sana siku hizi humu, mwisho wa mwaka na sisi km wachaga tunafunga hesabu tumeongeza nini kwa mwaka mzima..! 😹
Nimepita mara moja kuwapa hi haya waselfike sasa tuanze, vipi shangazi alikuja kwenye mchuano? 🤣🤣🤣
Mwee ukipata kamuda nipe na mimi huo umbea😂😂😂 Tuyaache hayo Nkamu