Selfika na JF: Snap it. Show it

Hiyo theory yako sii kweli mtoto awezi kujua vitu vya past kwenye familia yake bali anajifunza kwenye familia iliyopo present, hakuna mtu mwenye uwezo wa kuona past wazazi wake walikuwaje ili aige tabia
 
Hazitaki hizi mbichi shangazi
Kama vipi rudi tu Nkamu umpe kampani.

Sisi team shangazi tunaamini
Shangazi atarudi Kwa kishindo kama awamu ya sita,kujibu yale mapigo ya kina Bantu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mimi team shangazi na lazima kombe tuchukue, ana pic yake ile ya suti ya kitenge akitupia hapa lazima kina bl na kapeace wapoteane 🀣🀣🀣

Team shangazi to ze mullahaa πŸ€Έβ€β™‚οΈ
 
unaelewa maana ya
Hiyo theory yako sii kweli mtoto awezi kujua vitu vya past kwenye familia yake bali anajifunza kwenye familia iliyopo present, hakuna mtu mwenye uwezo wa kuona past wazazi wake walikuwaje ili aige tabia
kurithi? mtoto yoyote yule anakuwa na natural behavior from the original familiy
 
Mimi nitakusaidia tu mbegu za raisi na rubani tena mapacha wa nne

Cc Madame B
 
Basi nitakua mwanaume na mimiπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ maana nimetoka kwenye Safari nikahamia Heineken then Windhoek
Basi wewe sio mwenzetu tena.! 🀣🀣🀣
Hizo ulizotaja zote ukinywa lazima uungurume, usipokuwa makini km uko na babe anaweza kukukimbia.!
 
wla sio
selfish ila mara nyingi unaangalia na background ya wqzaz ndio maana Zaman watu wakitaka kuoa lazima Watchung uzee familia sio kama sasa waty wanaokotana tu teyar family inaundwa
 
unaelewa maana ya

kurithi? mtoto yoyote yule anakuwa na natural behavior from the original familiy
Yes, mfano rangi, sura, urefu, unene nk lakini sio matendo au tabia sasa mtoto anawezaje kuona past ambayo hakuwepo? Mtu yoyote anajifunza present mda aliopo na watu na mazingira kama unabisha mchukue mtoto wa kisukuma asiye jua kiswahili wala kingereza mpeleke Akakulie USA je mtoto akikuwa atakuwa amejifunza kisukuma au kingereza?

Vitu ambavyo atakuwa navyo kutoka usukumani labda ni rangi, sura unene, nywele nk lakini sio tabia
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Mimi team shangazi na lazima kombe tuchukue, ana pic yake ile ya suti ya kitenge akitupia hapa lazima kina bl na kapeace wapoteane 🀣🀣🀣

Team shangazi to ze mullahaa πŸ€Έβ€β™‚οΈ
Bado ile akiwa laboratory anachanganya kemikali
Awee
Ngoja aje atupie na dread zake kama hajagumua bado
 
wla sio

selfish ila mara nyingi unaangalia na background ya wqzaz ndio maana Zaman watu wakitaka kuoa lazima Watchung uzee familia sio kama sasa waty wanaokotana tu teyar family inaundwa
Una mawazo ya kijima.
Kipindi cha zamani watu walikuwa wanaishi hawatoki kwenda mikoa mingine, hata wewe ss hivi ukiambiwa uchaguliwe mume utakubali?! 😹
 
sio mume mm mke nishachaguliwa juzi tu mama
Una mawazo ya kijima.
Kipindi cha zamani watu walikuwa wanaishi hawatoki kwenda mikoa mingine, hata wewe ss hivi ukiambiwa uchaguliwe mume utakubali?! 😹
yake kaja nyumban kaongea na mama nikafanya kupigiwa simu nakujuzwa so nasubiriwa nikitoka uku niozeshwe
 
Bado ile akiwa laboratory anachanganya kemikali
Awee
Ngoja aje atupie na dread zake kama hajagumua bado
Shangazi battle anashinda mapema kabisa πŸ˜‚πŸ˜‚

Kuna ile nyingine ya tight nyeusi ya nyavunyavu awwwhh 😜
Iko moto balaa, bado ile ya mtandio

Team shangazi ushindi wetuuuuh 😹
 
Shangazi battle anashinda mapema kabisa πŸ˜‚πŸ˜‚

Kuna ile nyingine ya tight nyeusi ya nyavunyavu awwwhh 😜
Iko moto balaa, bado ile ya mtandio

Team shangazi ushindi wetuuuuh 😹
Akitupia hizo halafu akajibinua kidogo
Mapema sana kombe ni lake

Sijui Yuko wapi jamani Shangazi alete mambo
Camera ya ukungu hajale wala nini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…