Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

uyo dada nae taka kuozeshwa mama yake alikuja nyumban so akasema tuunganishe undugu kwasababu ninyi ni wakalimu sana hasa mwanao wa kiume kampokea mwanagu vizuri sana uyo mtoto wake alikuja arusha so nikiwa mweneyji wake akaa miezi 4 so sijui qliongea nn na mama yake ila ndio kuambiwa mama yake anataka nimuoe bintie mama kakubali so wanasubiria jibu langu
Kazi huna wanakutafutia mke 😂😂😂
Hao wazazi wako wapimwe mkojo
 
IMG_20240506_192809_212.jpg
 
😂😂😂 Imbombo jilipo Nkamu

Anavyopenda kampani yule weh asitudanganye hapa.!
Halafu odo Bl alikuwa shost yake naye waliishia wapi? 🤣🤣

Ila JF raha sana, humu tyuu.!
Haipoi wala haiboi
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️
Siku ikihitajika kusema nitasema. Kwasasa acha niendelee, kula raha na pumzi ya bure ya Muumba wetu🙏
 
Akitupia hizo halafu akajibinua kidogo
Mapema sana kombe ni lake

Sijui Yuko wapi jamani Shangazi alete mambo
Camera ya ukungu hajale wala nini
😂😂😂 Shangazi lazima kombe liwe lake km alivyonyakua kwa “WAASI” wamepoteana ss hivi nao waje na comeback yani wamekubali kabisaa kushindwa 😹😹😹

Waasi njooni shangazi kanenepa inatakiwa apungue kidogo mwili ubalance 🤣
 
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️🤸‍♀️
Siku ikihitajika kusema nitasema. Kwasasa acha niendelee, kula raha na pumzi ya bure ya Muumba wetu🙏
Odo sema kitu bana 😂
Tajirii unaniangusha ujue, kwan ilikuwaje?!
Mana ilikuwa ghafla Sana’a
Yani ilikuwaje? Weka hata intro huko mbele tutajazia wenyewe 😹😹
 
uyo dada nae taka kuozeshwa mama yake alikuja nyumban so akasema tuunganishe undugu kwasababu ninyi ni wakalimu sana hasa mwanao wa kiume kampokea mwanagu vizuri sana uyo mtoto wake alikuja arusha so nikiwa mweneyji wake akaa miezi 4 so sijui qliongea nn na mama yake ila ndio kuambiwa mama yake anataka nimuoe bintie mama kakubali so wanasubiria jibu langu
Huyo mama wa binti naye mwitu mduu 😂😂😂
 
Uongo 😂😂😂
Nkamu Saint Anne njoo uwe bodyguard wa odo anaogopa.!
Mimi niogope? Ulishaona Mkurya muoga? Ukweli ni huo, nikibadili nitakuwa naongea uongo na sipendi uongo.
Uliona sehemu tumegombana Odo? Hakuna na niliporudi alinisalimu, nikajibu vizuri basi. Life goes On Odo. Nyinyi ndiyo mlinyonyoana manyoya. Mpaka ugombane namimi, uvuke Red line.
 
Mimi niogope? Ulishaona Mkurya muoga? Ukweli ni huo, nikibadili nitakuwa naongea uongo na sipendi uongo.
Uliona sehemu tumegombana Odo? Hakuna na niliporudi alinisalimu, nikajibu vizuri basi. Life goes On Odo. Nyinyi ndiyo mlinyonyoana manyoya. Mpaka ugombane namimi, uvuke Red line.
Mmmhh.!! Odo em kwanza subiri, kuna uzi niliona unalalamika umepondwa ww mbaya 😹😹😹
Na picha zako unazotuma wamekunanga pm kama sijakosea, ila km niliona vibaya fureshiii.!!

Uzuri JF haitunzi Siri huwa inachelewesha kuzitoa. Tuwape muda utaongea 🤣🤣
 
Mmmhh.!! Odo em kwanza subiri, kuna uzi niliona unalalamika umepondwa ww mbaya 😹😹😹
Na picha zako unazotuma wamekunanga pm kama sijakosea, ila km niliona vibaya fureshiii.!!

Uzuri JF haitunzi Siri huwa inachelewesha kuzitoa. Tuwape muda utaongea 🤣🤣
No hukuelewa. Ulitakiwa uwe na D mbili pale uelewe. Kuna watu wanasave picha zote wanazo. Hutoelewa leo, sijapondwa Odo. Najua unachotaka kukisikia ila hakijafika huko. Ni picha nilisema wamasave. Dahila Odo 🙌🙌🙌🙌🙌🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂🤣 baadaye naingia Alaf hapa ngoja nikanunje zangu bati mweeh. Ila Odo siuwezi haki
 
Babu usile hizo korosho niletee thawadi mjukuu wako, nikule korosho za kwenye ndege 😹😹😹
Mjukuu unataka kula Korosho, Mkwe wangu ana taarifa lakini😜

Bila kula hizi Korosho Babu yenu baridi litaniua ujue🤗
 
No hukuelewa. Ulitakiwa uwe na D mbili pale uelewe. Kuna watu wanasave picha zote wanazo. Hutoelewa leo, sijapondwa Odo. Najua unachotaka kukisikia ila hakijafika huko. Ni picha nilisema wamasave. Dahila Odo 🙌🙌🙌🙌🙌🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂🤣 baadaye naingia Alaf hapa ngoja nikanunje zangu bati mweeh. Ila Odo siuwezi haki
😂😂😂 Weeh siku ile nilikuuliza mwenyewe wamekusema nini? Ukasema we acha tu 😹

Sema odo sio kesi, tumsubiri mwalimu wa kurekebisha na kuweka mambo sawa “Muda” huyo akifika hakuna wa kumzuia..
Haya selfika nikaendelee kuuza vijora vyangu.! 🤣🤣🤣
 
Mjukuu unataka kula Korosho, Mkwe wangu ana taarifa lakini😜

Bila kula hizi Korosho Babu yenu baridi litaniua ujue🤗
Mkwe atoke wapi babu??
Wewe unatafuta sababu za kuninyima korosho hizo 😹😹

Bibi ana taarifa km unakula korosho..! 🤣
 
Mkwe atoke wapi babu??
Wewe unatafuta sababu za kuninyoma korosho hizo 😹😹

Bibi ana taarifa km unakula korosho..! 🤣
Wazee hatuna shida hata tukila nusu kilo ya Korosho, si unajua miili yetu imepoa 🤗

Ngoja nikuletee za kurosti kilo 1, baada ya hapo utatafuta namba ya dear x mmalize tofauti zenu 😜🏃🏃🏃
 
Back
Top Bottom