Selfika na JF: Snap it. Show it

Wazee hatuna shida hata tukila nusu kilo ya Korosho, si unajua miili yetu imepoa πŸ€—

Ngoja nikuletee za kurosti kilo 1, baada ya hapo utatafuta namba ya dear x mmalize tofauti zenu πŸ˜œπŸƒπŸƒπŸƒ
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ babu Ntakuchapa ujue
Wewe lete hizo korosho kwanza
 
Weeh Kapeace usintanie em mpe namba shem, sasa kuna umuhimu gani wa kupewa shape km hutaki kutoa namba.!! 🀣🀣🀣

Tukizikosa pesa za shem ujue ntakununia mfyuuu 😹😹
Nilikuwa nakusubiri mwenyekiti, ndo nini kututelekeza, mi bado naumwa😜
 
Huyu mgonjwa mbona jeuri hivi? πŸ˜‚πŸ˜‚
Kapeace mpe namba shem hii ni amri sio ombi nakwambia 😹😹😹

Yani unabembelezwa km wafuasi wa CDM wakaandamane kwann lakini?? 🀣
Nineshatoa mbona, hebu mpeleke taratibu mstaafu wangu mwishowe ajikwae,
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ babu Ntakuchapa ujue
Wewe lete hizo korosho kwanza
Hahaha...........lakini si unajua Babu yako nina ile fimbo, sijaitumia nina muda mrefu ujue? 😜

Mtume mjumbe aje nimpe Korosho zako, ukiwa na nafasi pitia mwenyewe ofisini kwangu πŸ€—
 
Hahaha...........lakini si unajua Babu yako nina ile fimbo, sijaitumia nina muda mrefu ujue? 😜

Mtume mjumbe aje nimpe Korosho zako, ukiwa na nafasi pitia mwenyewe ofisini kwangu πŸ€—
Nitamtuma mdogo angu tayana anifatie korosho babu πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mnywani kama mnywani
Sijatoka leo home njoo nikufundishe ile surrat aliyekuambia arsis. Nshashika udhu.
Forever and always mnywanii!!!

Nakujaaa unifunze hio surat mnywanii kuna viumbe vilitaka kunidhuruuu ila vilinikuta sidhuriki ndio nikamuuliza Arsis mnywanii!

Natamani siku nivikamate ila ndoiivooo mi sio wa Mungu sana sio wa mgangaaaa basi imani yangu inahang hang tu πŸ˜‚!!
 
Leo Lolote BAYA liwakute Makolo kwa wadogo zenyu!



Muwe na Jioni njema wapendwa
Oyooooooo.!!
Uduguu weee.!! Mtoto mlito udongo wa Dubenga 😍😍😍
Nkamu Saint Anne umeona huku auntie anavyowaka!! Haya ita team yako tayari tusharudisha na tumefunga lingine ubao unasoma 2-1 😹😹😹
 
Nitamtuma mdogo angu tayana anifatie korosho babu πŸ˜‚πŸ˜‚
Hahaha............huyo akija lazima anipige maombi kama ya Mwamposa ili niache kuvuta Kiko zangu, maana hataki hata kusikia harufu yake😜
 
Oyooooooo.!!
Uduguu weee.!! Mtoto mlito udongo wa Dubenga 😍😍😍
Nkamu Saint Anne umeona huku auntie anavyowaka!! Haya ita team yako tayari tusharudisha na tumefunga lingine ubao unasoma 2-1 😹😹😹
WeuweeeπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
Auntie kawaka na hiyo jeziπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

Sipatii picha akitupia na ile ya kitenge.

Halafu ngozi yake sasa inang'aa utasema anaogea maziwa.

Pambano bado bichi hili πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
 
WeuweeeπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
Auntie kawaka na hiyo jeziπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

Sipatii picha akitupia na ile ya kitenge.

Halafu ngozi yake sasa inang'aa utasema anaogea maziwa.

Pambano bado bichi hili πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Auntie katisha sana, ningeshangaa auntie akubali kuweka silaha chini kirahisi aah subutuuu.!!
Labda sio aunt ninayemjua, shangazi Hana mpinzani bado anatetea ubingwa wake wa selfika 😹😹😹😹

Auntie tupe nyingine tuwapige 7 🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…