Eti jamani Nkamu sisi team yake akituangamiza nani atamsapoti na kumshangilia π€£π€£π€£Hee!
Tuangamie tena?π
Nani atamsifia sasa?
Hiyo lazima tu atatupia wee
Anaachaje kutupia wakati SI unit ya pambano ipo kwenye mshepuπ
Kwa Bulldozer sisi tunapokea tu mibaraka aiseeEti jamani Nkamu sisi team yake akituangamiza nani atamsapoti na kumshangilia π€£π€£π€£
Mshepu muhimu ndio unabeba ushindi wa jumla jumla, naona kashtua kidogo kabla hajatupia hiroshima πΉπΉπΉ
Shangazi hizi battle kwake km kumsukuma Mlevi mbona πππHajawahi kushindwa
Shangazi ni mmoja tu wa kimataifa
Hii ndio ile comeback ya kibabe sasa tuliyokuwa tunasubiriπ₯π₯
Hata ukitupa Line na simu ππNahisi Kuna namna wanakuweka kwenye mfumo wanakudaka tu
Shangazi atakubali kukaa nyuma sasa?Shangazi hizi battle kwake km kumsukuma Mlevi mbona πππ
Hapo chap tunabeba kombe letu shem sele anatufata na ndinga lake awwwhee πΉπΉ
Wewe mpenda magari ukae mbele na kombe la ushindi, mi ntakuwa nampepea auntie kwa ushindi wa kishindo πΉπΉ
Wanakutisha tuNahisi Kuna namna wanakuweka kwenye mfumo wanakudaka tu
Sio mimi sijakopa nilikuwa namtania bffWanakutisha tu
Hawawezi kukufanya chochote zaidi ya vitisho
Wakope twende vacation December hii hapaHata ukitupa Line na simu ππ
Mi ntawakopa nione ufanisi wao
πππ kumbe ulituma dushe ngoja nimwambie anitumie wote mliotuma niwachabo πΉπΉMtoto maku sana yule kidogo tu anaomba picha za dusherere.
Vibomu sasa maninah zake sana
πππ Anatwanga maji kwenye kinuKwa Bulldozer sisi tunapokea tu mibaraka aisee
Ajue tu sisi tupo sana na tunatamba nayeπ
qhahah kuna ubaya kwani?Huyo mama wa binti naye mwitu mduu πππ
Shangazi akikaa mbele atamfanya sele ashindwe kuingiza gia hips kubwa π€£π€£π€£Shangazi atakubali kukaa nyuma sasa?
Au atamkalia sele wapakatiane
Mimi na siti ya mbele damudamu.
Ila hadi sasa shangazi bado ni bingwa mtetezi kama Mancity ilivyoing'ang'ania EPL
Ngoja nifanye mafekeche bff lazima dec tukajiachie na pesa za OYA π€£Wakope twende vacation December hii hapa
Watatukoma selfika tutapost tunapita nakedNgoja nifanye mafekeche bff lazima dec tukajiachie na pesa za OYA π€£
ππππππππ Anatwanga maji kwenye kinu
Sisi tupo sana kushuhudia pambano
ππππ watakomaWatatukoma selfika tutapost tunapita naked
Sijui na wenyewe wamepotelea wapi?!πππππ
Hivi akina Bantu wako wapi tuendelee na second round?
Ngoja tukaulize kacocaShangazi akikaa mbele atamfanya sele ashindwe kuingiza gia hips kubwa π€£π€£π€£
Yeye akae nyuma huku niwe nampepea..!
Hivi shem anasukuma ndinga gani? Isijekuwa Lc 300 π
Hivi Bantu ana haja ya Tiz kweli!?Sijui na wenyewe wamepotelea wapi?!
Au comeback ya shangazi imewaogopesha π€£π€£π€£
Itakuwa nao wanajipanga wanapiga tiz kwanza.! Tuendelee kuwasubiri mi nipo mwingi leo washindwe wao tyuu.!!