Selfika na JF: Snap it. Show it

Sasa hadi wanaume wanafunga pm?? Wanaficha nini? Wanawake sawa tena inatakiwa yawepo makomeo ya kutosha
 
Hivi Bantu ana haja ya Tiz kweli!?
Asituangushe

Tunasubiri picha
Comedian wake tumefikaπŸ”₯
Bantu Lady
Ila nyinyi watu, mbavu zangu jamani. 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣 mna nini lakini? Sijui maneno yanatoka wapi? Halafu wachochezi hao πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… hatuselfiki leo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
View attachment 3107447

Tufanye hivi, wewe utampelekea mgonjwa, ujumlishe mauzo ya vijora na mie nilizopata kwenye kuuza madafu nikukabidhi...mambo yasiwe mengi.
Shemeji mimi sina pesa, mtaji wenyewe wa vijora wa elfu 50 sasa nikitoa si nimefirisika 🀣🀣🀣

Wewe fungua pm utume pesa kwa mgonjwa najua na mimi nitapata y’a balimi moja 😹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…