Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

The Monk fungua pm chap, unaomba namba halafu unafunga pm namna gani tajiriiii 😂😂

Tajiri muaminifu bana hataki hekaheka atakufungulia ukatulie peke yako piemuni mahi.!! Wale wa kuacha pm wazi wengi fisi maji 😹😹😹 Mje mniue niko bonyokwa
Sasa hadi wanaume wanafunga pm?? Wanaficha nini? Wanawake sawa tena inatakiwa yawepo makomeo ya kutosha
 
Hivi Bantu ana haja ya Tiz kweli!?
Asituangushe

Tunasubiri picha
Comedian wake tumefika🔥
Bantu Lady
Ila nyinyi watu, mbavu zangu jamani. 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mna nini lakini? Sijui maneno yanatoka wapi? Halafu wachochezi hao 🙌🙌🙌🙌😅😅😅😅 hatuselfiki leo 😂😂😂😂
 
Pole nakuja kukuona mgonjwa, mi nilikuwa nauza vijora kwanza… leo nipo mwingi..!
Weka namba The Monk asababishe unywe ceres 😜
Screenshot_2024-09-26-18-09-02-36_965bbf4d18d205f782c6b8409c5773a4.jpg


Tufanye hivi, wewe utampelekea mgonjwa, ujumlishe mauzo ya vijora na mie nilizopata kwenye kuuza madafu nikukabidhi...mambo yasiwe mengi.
 
View attachment 3107447

Tufanye hivi, wewe utampelekea mgonjwa, ujumlishe mauzo ya vijora na mie nilizopata kwenye kuuza madafu nikukabidhi...mambo yasiwe mengi.
Shemeji mimi sina pesa, mtaji wenyewe wa vijora wa elfu 50 sasa nikitoa si nimefirisika 🤣🤣🤣

Wewe fungua pm utume pesa kwa mgonjwa najua na mimi nitapata y’a balimi moja 😹
 
Back
Top Bottom