Mbona wanawake wengi pm ziko wazi ππYani mi najiuliza wanapata ghasia zipi mpaka kuamua kufunga, sie wanawake inajulikana dhoruba tunazokutana nazo sasa na nyie!!
Usd imepanda lakini si sana kama mwezi wa 2-7 ebanaeee
Ktk uBora wako π€£Huyo tajiriii Hana konakona kanyooka ohh π€£π€£
Mi nataka kuanza week-end mapema sitaki stress πΉ fanya chap tena umjibu kwa adabu mh π€£
Sema taratibu asisikie fudenge πΉπΉKtk uBora wako π€£
KumekuchaMbona wanawake wengi pm ziko wazi ππ
Ila wengi kina Ini πΉ
Hili lisinipite mkuu who is ini ππ€£Aliwakomesha wengine
Mimi mwenyewe kibaka mstaafu
Alafu kalivo kabwege kanaomba hela ndogo ndogo ili isiwe rahisi kuchomoa
Nimeshangaa labda waje watwambie nini kiliwasibu!!Wanazingua sana Bora wanawake ndio wafunge maana wanapata usumbufu sana na vijana wa hovyo
Usd ipo vizuri ila sizani kama itakujaga kuikuta euro β¬ au paundi ya malikia wa uingereza
Tatizo labda muamala haisomi.Piemu yangu ipo wazi lakini sijawahi kupewa salamu hata Kwa bahati mbaya π
Kweli Wazee hatuna bahati π€
Itakuwa walikutana na wale wasela wanaojifanya mademu wakala pesa zao π€£ πNimeshangaa labda waje watwambie nini kiliwasibu!!
Dollar ndo inatumika sana hizo nyingine ni kama hazipo tu
Ini ndiye nani?π π nimejikaza kujifanya sipendi umbea ila imebidi niulize najua hautanijibu ila pm iko waziMbona wanawake wengi pm ziko wazi ππ
Ila wengi kina Ini πΉ
Heee mpk hukuπ€£The Monk anaogopa manungayembe bana πΉ
Inatakiwa ufurahi sio km fisi maji wengine wenyewe pm zao zimejaa mitongozo
Babu uongo π€£π€£Piemu yangu ipo wazi lakini sijawahi kupewa salamu hata Kwa bahati mbaya π
Kweli Wazee hatuna bahati π€
π π π kwahiyo walianzwa? Au wao ndio walianza km walianza wao lazima upigwe mzingaItakuwa walikutana na wale wasela wanaojifanya mademu wakala pesa zao π€£ π
Leo ni kama 2700 na kitu, niliona Bank. KapeaceMi nashida ya kujua dola,
Sisi wanaume huwaga tuna anza ila tunaishia kujuta mwishoni π€£πππ π π kwahiyo walianzwa? Au wao ndio walianza km walianza wao lazima upigwe mzinga
Nitafute siku nikiwa na type nimelewa, leo niko mkavu siwezi kukupa huu ubuyu πππIni ndiye nani?π π nimejikaza kujifanya sipendi umbea ila imebidi niulize najua hautanijibu ila pm iko wazi
Itabidi nikunyweshe maana utasahau, π πNitafute siku nikiwa na type nimelewa, leo niko mkavu siwezi kukupa huu ubuyu πππ